Ukweli wa historia ya mapinduzi ya Zanzibar yakimuhusisha mtu asiye maarufu sana, John Okello

Ukweli wa historia ya mapinduzi ya Zanzibar yakimuhusisha mtu asiye maarufu sana, John Okello

Yeriko angekuwa mchambuzi mzuri wa siasa ikiwa tu angeamua kujitenga na mihemuko na itikadi ya kileee chama chake.
Kinachoongozwa na kauli mbiu ya kupinga kila kitu kilichofanyika, kinachofanyika na kitakachofanyika chini ya utawala uliopo.
 
Yericko katika ubora wako, pole kwa maswahibu yaliyokukuta karibu kamanda, jasusi mbobezi katika kile chama chetu. huwa nakosa raha ya siku nikipitwa hata uzi mmoja kutoka kwako wewe Pasco Mchambuzi Nguruvi3 mungu na awe nanyi katika uchambuzi murua wa siasa uchwara wa chama kile kile zaidi ya miaka 54 na mwezi mmoja sasa na siku 4.
Hahahahas daah haya mkuu asante sana
 
Dinipevu et al,

Kwa uelewa wangu finyu, maana ya Zanzibar ni "Negro Coast". Hili ni jina lililotungwa na Waarabu waliofika kisiwani humo baadae kutafuta watumwa na mengineyo. 'Negroes' ndio waliokutwa kwa wingi na walikuwa ni wahamiaji kutoka sehemu mbali mbali za Tanganyika, Msumbiji, Malawi nk.
 
Dinipevu et al,

Kwa uelewa wangu finyu, maana ya Zanzibar ni "Negro Coast". Hili ni jina lililotungwa na Waarabu waliofika kisiwani humo baadae kutafuta watumwa na mengineyo. 'Negroes' ndio waliokutwa kwa wingi na walikuwa ni wahamiaji kutoka sehemu mbali mbali za Tanganyika, Msumbiji, Malawi nk.
Mkuu umegusa jambo kubwa na mhimu sana ngoja nimwite mdau mmoja aje atusaidie vema hili ana uelewa nalo.
 
Historia ya Zanzibar itanyoka tu pale mkombozi wake Field Marshall John Gideon Okello atakapopewa stahiki yake kama shujaa wa Unguja aliyekata minyororo waliyofungwa ndugu zetu huko Kisiwani na kuutimua utawala wa walowezi kutoka Oman. Jina lake halitasahaulika na njama zozote zinazofanywa kufuta jina lake kama Mwenyekiti wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar kamwe hazitafanikiwa. RIP Field Marshall.
Kamanda kitambo kingi jamaa yangu bado unasubiri mabadiliko huku unazungusha mikono naomba unitumie zile picha za nyomi Jangwani na Furahisha Mwanza tujiliwaze kamanda kunja ngumi zungusha mikono!! Haya sema kwa sauti mabadiliko Lowassaaaaa!!! Teh teh teh!
 
Mtu kaja Dar es Salaam mwaka 2010 kutoka Iringa halafu atufundishe history ya Zanzibar.
umenikumbusha lugha ya vijana wengi masikini wa DSM "uzawa " sisi tuliokuwa tunasoma tuliitwa washamba , matokeo yake tumekuwa matajiri hadi tumenunua nyumba zao za udongo , wao wamekimbilia kimanzichana .
 
umenikumbusha lugha ya vijana wengi masikini wa DSM "uzawa " sisi tuliokuwa tunasoma tuliitwa washamba , matokeo yake tumekuwa matajiri hadi tumenunua nyumba zao za udongo , wao wamekimbilia kimanzichana .
Usiwe punguani hapa tunaongelea history ya mapinduzi wewe unaleta porojo zako kwa hiyo wewe tajiri daah! JF kuna vituko.

Teh teh teh!
 
kwahiyo unataka kusema wanaokaa mikoani hawajui historia au
Hivi mtu anatoka Tarime anakuja Moshi anakufahamisha history ya Kibosho na Machame ambayo wewe ulikuwa hujui?
 
Hahahaaa naona Yeriko ameibuka na nguvu ya ajabu....Protein za lupango tu hizo au??
 
Kwa hiyo hao wazaramo wacheza vanga ndiyo wanaijua hiyo Historia? Wewe wa wapi?
Usiwe punguani nani kakwambia wazaramo ndiyo wanajua hostoria? Wazaramo kwao Mkuranga na maeneo mengine.

Nakuuliza mtu aliyetoka Makete akaja kwenu Moshi mwaka 2010 ataweza kukufundisha historia ya Wamachame na Wakibosho.

Au historia ya watu wa Rombo na Wakishimundu.
 
Last edited:
Usiwe punguani nani kakwambia wazaramo ndiyo wanajua hostoria? Wazaramo kwao Mkuranga huko na maeneo mengine.

Nakuuliza mtu aliyetoka Makete akaja kwenu mwaka 2010 ataweza kukufundisha historia ya Wamachame na Wakibosho.

Au hostoria ya watu wa Rombo na Wakishimundu.
Kumbe hata hiyo historia ya wazaramo huijui, wewe unawajua wa Mkuranga, asili yao kabla ya kuselelea unaijua? Sasa unataka Nape ndiyo aje aisimulie? Kwa hiyo wewe ukomo wako akili unakuonesha kwamba Historia huwa inajulikana zaidi na watu wa maeneo husika tu? Shule zilejegwa za nini na watafiti wako kwa ajili gani?

Yaani wewe bila ya kuwataja wachaga hujisikii raha kabisa!
 
Back
Top Bottom