Tetesi: Ukweli wa Madeni ya TZ na Kushikikiwa kwa Ndege ya ATCL Huu Hapa

Tetesi: Ukweli wa Madeni ya TZ na Kushikikiwa kwa Ndege ya ATCL Huu Hapa

Mkikuyu- Akili timamu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,310
Reaction score
7,465
Bado na ona wengi wana shangilia Kushikiliwa kwa ndege ya ATCL Sauzi
Ni muhimu muyajue haya.

1.Deni la Tz hadi sasa ni 31% of GDP. Hili ni deni la wastani na linalipika kwa urahisi

2.Mkitaka Deni zote zilipwe basi nanyi mkubali ushuru uongezwe ama JPM ahodhi madeni mapya alipe yale ya nyuma

3.44% ya bajeti ya Tz mwaka huu ni ya kulipa madeni pekee. Kwa hivyo hakuna aliyekataa kulipa

4.Wewe mwenyewe unavyo jifanya malaika ujichunguze kama umelipa madeni yako yote.

5. Huyo mkulima kaburu aliyeshikilia ATCL ajue ardhi ya Tz Ni ya wananchi..Pesa atalipwa lakini huduma kwa wananchi ndio kipao mbele

6. Wakenya na wapinzani Tz mjue uchumi supermarket iliyo filisika ipo na madeni ya wa Tz. Wakiamua kushikilia ndege moja ya KQ mtabaki na mbili

Ushimchibie mwenzako shimo, Utaingia wewe mwenyewe!
 
Bado na na wengi wana shangilia Kushikiliwa kwa ndege ya ATCL Sauzu
Ni muhimu muyajue haya.

1.Deni la Tz hadi sasa ni 31% of GDP. Hili ni deni la wastani na linalipika kwa urahisi

2.Mkitaka Deni zote zilipwe basi nanyi mkubali ushuru uongezwe ama JPM ahodhi madeni mapya alipe yale ya nyuma

3.44% ya bajeti ya Tz mwaka huu ni ya kulipa madeni pekee. Kwa hivyo hakuna aliyekataa kulipa

4.Wewe mwenyewe unavyo jifanya malaika ujichunguze kama umelipa madeni yako yote.

5. Huyo mkulima kaburu aliyeshikilia ATCL ajue ardhi ya Tz Ni ya wananchi..Pesa atalipwa lakini huduma kwa wananchi ndio kipao mbele

6. Wakenya na wapinzani Tz mjue uchumi supermarket iliyo filisika ipo na madeni ya wa Tz. Wakiamua kushikilia ndege moja ya KQ mtabaki na mbili

Ushimchibie mwenzako shimo, Utaingia wewe mwenyewe!
Mkuu mbona kama unateseka?!! Hilo deni la huyo mzungu mbona lipo serikalini, muda tu, na hakuna jitihada za kulipunguza? Kesi yenyewe imeendeshwa upande mmoja hamkutuma wakili, leo mnaanza kulia?!! Mala deni la awamu ya kwanza!! So what deni ni deni tu hata aje nani litabakia kuwa deni la taifa!! Na huyo kaonyesha njia kumbe inawezekana subilia wataanza na wengine!!
 
Kwa hili miwewadharau wapizani ya Tz na yeyote anayekenua meno humu akishangilia
Hamtumii akili, mnatumia Hisia na siasa zenu ni za matukio sio sera.
Sasa viongozi walisema hizo ndege ni za ccm, kila kitu kizuri ni ccm, kwa hiyo ambaye si ccm, havimuhusu, kwenye sifa mpate nyie ila kwenye majanga wawe wote?!! Inawezekana je? Na bado hizi siasa zinaleta uhasama kweli,
 
Mkuu mbona kama unateseka?!! Hilo deni la huyo mzungu mbona lipo serikalini, muda tu, na hakuna jitihada za kulipunguza? Kesi yenyewe imeendeshwa upande mmoja hamkutuma wakili, leo mnaanza kulia?!! Mala deni la awamu ya kwanza!! So what deni ni deni tu hata aje nani litabakia kuwa deni la taifa!! Na huyo kaonyesha njia kumbe inawezekana subilia wataanza na wengine!!
Kwa fikra zako za kuvukia barabara unafikiri deni ni la JPM ama CCM?
Hilo deni ni lako wewe mwananchi na ukitaka lilipwe leo ukubali JPM akuongezee ushuru.
Hivi akili ama kamasi?
 
Sasa viongozi walisema hizo ndege ni za ccm, kila kitu kizuri ni ccm, kwa hiyo ambaye si ccm, havimuhusu, kwenye sifa mpate nyie ila kwenye majanga wawe wote?!! Inawezekana je? Na bado hizi siasa zinaleta uhasama kweli,
Nilisikia wakisema maendeleo hayana chama. Ama masikio yako yamejaa nta?
 
Kwa fikra zako za kuvukia barabara unafikiri deni ni la JPM ama CCM?
Hilo deni ni lako wewe mwananchi na ukitaka lilipwe leo ukubali JPM akuongezee ushuru.
Hivi akili ama kamasi?
Sawa ni langu, kuliko fedheha hizi lilipwe tu, kwani mangapi yanafanyika na kodi kila siku zinaongezwa, unanunua vitu vipya bila kulipa madeni, wadeni wa ndani ndio wataufyata lakini sio hao wenye akili zao!! Mbona bado sana
 
Sawa ni langu, kuliko fedheha hizi lilipwe tu, kwani mangapi yanafanyika na kodi kila siku zinaongezwa, unanunua vitu vipya bila kulipa madeni, wadeni wa ndani ndio wataufyata lakini sio hao wenye akili zao!! Mbona bado sana
Deni bado sana na limeshuka toka 44% hadi 31%? Hivi hata hesabu ni shida kwenu?
 
Mwambie rais akulipie nauli ukawaeleze haya makaburu uenda watakuelewa
 
Bado na na wengi wana shangilia Kushikiliwa kwa ndege ya ATCL Sauzi
Ni muhimu muyajue haya.

1.Deni la Tz hadi sasa ni 31% of GDP. Hili ni deni la wastani na linalipika kwa urahisi

2.Mkitaka Deni zote zilipwe basi nanyi mkubali ushuru uongezwe ama JPM ahodhi madeni mapya alipe yale ya nyuma

3.44% ya bajeti ya Tz mwaka huu ni ya kulipa madeni pekee. Kwa hivyo hakuna aliyekataa kulipa

4.Wewe mwenyewe unavyo jifanya malaika ujichunguze kama umelipa madeni yako yote.

5. Huyo mkulima kaburu aliyeshikilia ATCL ajue ardhi ya Tz Ni ya wananchi..Pesa atalipwa lakini huduma kwa wananchi ndio kipao mbele

6. Wakenya na wapinzani Tz mjue uchumi supermarket iliyo filisika ipo na madeni ya wa Tz. Wakiamua kushikilia ndege moja ya KQ mtabaki na mbili

Ushimchibie mwenzako shimo, Utaingia wewe mwenyewe!
Anayedai anasema hajalipwa tangu uongozi wa Nyerere.
 
Mkuu mbona kama unateseka?!! Hilo deni la huyo mzungu mbona lipo serikalini, muda tu, na hakuna jitihada za kulipunguza? Kesi yenyewe imeendeshwa upande mmoja hamkutuma wakili, leo mnaanza kulia?!! Mala deni la awamu ya kwanza!! So what deni ni deni tu hata aje nani litabakia kuwa deni la taifa!! Na huyo kaonyesha njia kumbe inawezekana subilia wataanza na wengine!!
Kusema deni la awamau ya kwanza si utetezi.

Ni kukubali serikali yetu ni ya kipumbavu.

Deni linavyozidi kukaa muda mrefu bila kulipwa ndivyo linazidi kuwa halilipiki.

Kwa sababu kila mwaka linaongezeka kupitia interest.

Sasa, unapoacha kulipa deni dogo, baada ya miaka 10 linakuwa kubwa sana kwa sababu wanaokudai wanahesabu interest.
 
Bado na na wengi wana shangilia Kushikiliwa kwa ndege ya ATCL Sauzi
Ni muhimu muyajue haya.

1.Deni la Tz hadi sasa ni 31% of GDP. Hili ni deni la wastani na linalipika kwa urahisi

2.Mkitaka Deni zote zilipwe basi nanyi mkubali ushuru uongezwe ama JPM ahodhi madeni mapya alipe yale ya nyuma

3.44% ya bajeti ya Tz mwaka huu ni ya kulipa madeni pekee. Kwa hivyo hakuna aliyekataa kulipa

4.Wewe mwenyewe unavyo jifanya malaika ujichunguze kama umelipa madeni yako yote.

5. Huyo mkulima kaburu aliyeshikilia ATCL ajue ardhi ya Tz Ni ya wananchi..Pesa atalipwa lakini huduma kwa wananchi ndio kipao mbele

6. Wakenya na wapinzani Tz mjue uchumi supermarket iliyo filisika ipo na madeni ya wa Tz. Wakiamua kushikilia ndege moja ya KQ mtabaki na mbili

Ushimchibie mwenzako shimo, Utaingia wewe mwenyewe!
How is this Kenyan News?
 
Anayedai anasema hajalipwa tangu uongozi wa Nyerere.
Muwache kujifanya malaika, Madeni ya enzi ya nyerere isingekuwa juhudi za Mkapa kuomba kusamehewa leo hata chai asubuhi haungekunywa. Zilizobaki na zilizo na matata kama za huyo kaburu ziende kwa mwendo wake ama mkubali ushuru uongezwe..Kipao mbele ni huduma kwa wananchi
 
Muwache kujifanya malaika, Madeni ya enzi ya nyerere isingekuwa juhudi za Mkapa kuomba kusamehewa leo hata chai asubuhi haungekunywa. Zilizobaki na zilizo na matata kama za huyo kaburu ziende kwa mwendo wake ama mkubali ushuru uongezwe..Kipao mbele ni huduma kwa wananchi
Anayejifanya malaika ni anayedaiwa halafu anajifanya sheria za kulipa madeni hazimhusu yeye malaika yuko juu ya sheria za kiuchumi za kukopa na kulipa.

Mimi ninayesisitiza kulipa madeni najijua si malaika, na sheria za kulipa madeni zinanihusu.

Mantiki yako imepinda.
 
Huna akili
Bado na na wengi wana shangilia Kushikiliwa kwa ndege ya ATCL Sauzi
Ni muhimu muyajue haya.

1.Deni la Tz hadi sasa ni 31% of GDP. Hili ni deni la wastani na linalipika kwa urahisi

2.Mkitaka Deni zote zilipwe basi nanyi mkubali ushuru uongezwe ama JPM ahodhi madeni mapya alipe yale ya nyuma

3.44% ya bajeti ya Tz mwaka huu ni ya kulipa madeni pekee. Kwa hivyo hakuna aliyekataa kulipa

4.Wewe mwenyewe unavyo jifanya malaika ujichunguze kama umelipa madeni yako yote.

5. Huyo mkulima kaburu aliyeshikilia ATCL ajue ardhi ya Tz Ni ya wananchi..Pesa atalipwa lakini huduma kwa wananchi ndio kipao mbele

6. Wakenya na wapinzani Tz mjue uchumi supermarket iliyo filisika ipo na madeni ya wa Tz. Wakiamua kushikilia ndege moja ya KQ mtabaki na mbili

Ushimchibie mwenzako shimo, Utaingia wewe mwenyewe!
 
Back
Top Bottom