kapongoliso
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,353
- 489
Dawa ya deni ni kulipa tu, hizo zingine ngonjera tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hata Kichwa huna..Angalau changu natumia kubebea meno😂😂😂Huna akili
Nilikuwa nawapa watanzania pole. Hii yako ni hasira za mkiziukifungua huu uzi hapa uliona ni kenyan News? Punguza Ujinga👇👇
Poleni Jirani Zetu Kwa Hili La Ndege Lenu Kushikiliwa SA
Nimeskia ya kwamba ndege yenu iliyokuwa imeenda SA imekamatwa. Naona hawa watu ambao nyie hudai kuwa mliwakomboa hawana shukrani. Poleni sana kwa hiliwww.jamiiforums.com
Uwezo upo kwa sana ndio maana wasio itakia nchi hii mema hawalali kuipaka matope awamu ya tano lakini inshallah tutapasua mpaka mawinguni juu, uwezo upo.Write your reply...ishaurini serikali ismamie vizur mauzo ya korosho msimu huu ili innue ndege zingine
Kulipa deni na kuongeza ushuru kunahusianaje? Ushuru wa nini hasa? Deni la watanzania wote unalaumu upande mmoja!!!! Au hujui watanzania wote wanalipa kodi zinazolipia madeni? Acha siasa......Kwa fikra zako za kuvukia barabara unafikiri deni ni la JPM ama CCM?
Hilo deni ni lako wewe mwananchi na ukitaka lilipwe leo ukubali JPM akuongezee ushuru.
Hivi akili ama kamasi?