Ukweli wa mafuriko ya Lissu wafichuka, ni watoa rushwa CCM wanahaha kwa kuwatuma wafuasi wao

Ukweli wa mafuriko ya Lissu wafichuka, ni watoa rushwa CCM wanahaha kwa kuwatuma wafuasi wao

Nakwambia hivi kwenye mdahalo mwenyekiti wako ataeleza kivipi wapinzani watabomoa madaraja wakishinda!!
 
Hao wanaojifanya bila wao sisiemu itashindwa ndio watakaokatwa, na mwekt wao hapendi kusikia hivyo, hukumbuki ya nape? Ila sidhani kua ndio wamewatuma wafuasi wao kwa lissu, lissu ana wafuasi wake automatikali, tena alipo lissu masisiemu hua yanajikunyata ndani na kusikilizia tu
Kwahiyo umeamini huu udaku ni kweli?
 
Kuna uzi mmoja ulisema jf imekuwa hacked. Sasa naanza kuamini.
 
Kama Lissu ana mafuriko ilihali hakuwa Nchini, wala anakopita Watanzania hawatangaziwi bali wanastukizwa, basi huu Mwaka tuna hali ngumu..
Hii ni Dalili kwamba wapinzani wa kweli ni Watanzania, sio hawa CHADEMA tunaowavamia kuwapiga, ama kuwabambikia kesi.
Tujitafakari na Kujisahihisha.
 
Kama nawao wamejiunga na jeshi la ukombozi hakuna shida wamejitambua, cha msingi ni mkoloni mweusi aondolewe madarakani madarakani kwa njia ya halali.
 
CCM walikuwa wanatamba sana kipindi kile Cha waunga juhudi,Sasa wameshajua waliounga juhudi walikuwa wao kama wao wala hawakuwa na wafuasi wowote,upinzani utakufa kabla ya 2020! haya sasa badala ya kufa upinzani umekuwa wa mwendo kasi,hata zile tambo zenu hatuzisikii tena mmeshaanza kuweweseka mitandaoni
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Wewe unatakiwa ukaeudie darasa la kwanza. Yaani mataga cjui akili zenu zimeenda wapi. Unataka kusema hao wagombea wa ccm wanao wanachama mamia kwa mamia ktk kila mkoa. Endeleeni kujitekenya. C mliwanunua wabunge mnalalamika nn sasa wapitisheni. Tuibadilishe Tanzania hawa wasiojua dunia inaenda wapi ndio wanaoidumaza nchi
 
Wewe unatakiwa ukaeudie darasa la kwanza. Yaani mataga cjui akili zenu zimeenda wapi. Unataka kusema hao wagombea wa ccm wanao wanachama mamia kwa mamia ktk kila mkoa. Endeleeni kujitekenya. C mliwanunua wabunge mnalalamika nn sasa wapitisheni. Tuibadilishe Tanzania hawa wasiojua dunia inaenda wapi ndio wanaoidumaza nchi
Kila mgombea CCM aliyeshinda kura za maoni anao wanachama jimboni mwake. Kumbuka huu mtandao wanawasiliana kutengeneza hali tete Kila mahali apitapo Lisu. Wengi waanaomshangilia na kumfuata ni Wana CCM mikakati.
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Huu Uzi kashonee kiraka cha nguo .
Hivi huko CCM mlipelekaga chooni ?
Hata uwezo wa kufikiri na kuja na andiko zuri la kusaidia Taifa lisonge mbele hakuna .
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Endeleeni kudanganyana tu mkija kushtuka kumekucha Jogoo Hilo linawika kokoliko,CCM mnapaswa kujui Siasa in
Freed Freed,

Huu ujinga ndio mlimuingiza nao mkenge Magufuli kuwa ili akubalike sana, atoe hela ya kuwanunua wapinzani kisha waseme wanaenda kuunga mkono juhudi. Matokeo yake saa hii kapanick haelewi inakuwaje watu wanajaa kwa Lissu. Ili kupooza hasira ya Magufuli, matapeli mliomuingiza mjini mzee wa watu, mnakuja na hizi post ili kumpoteza maboya.
Mwaka huu watachinjana wenyewe kwa wenyewe
 
Kuna uzi mmoja ulisema jf imekuwa hacked. Sasa naanza kuamini.
Kuna Uzi mwingine alidai Wanajeshi WA Tz waliwahi kupiga Rwanda Enzi za JK waliingia Hadi sebuleni Kwa PK ,jamaa sidhani kama dishi liko mahala pake.
 
Kuna Uzi mwingine alidai Wanajeshi WA Tz waliwahi kupiga Rwanda Enzi za JK waliingia Hadi sebuleni Kwa PK ,jamaa sidhani kama dishi liko mahala pake.
Ulidhani sio kweli, njoo jeshini uulizie
 
Back
Top Bottom