NyambafuHuo ndio ukweli halisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NyambafuHuo ndio ukweli halisi.
Kwahiyo umeamini huu udaku ni kweli?Hao wanaojifanya bila wao sisiemu itashindwa ndio watakaokatwa, na mwekt wao hapendi kusikia hivyo, hukumbuki ya nape? Ila sidhani kua ndio wamewatuma wafuasi wao kwa lissu, lissu ana wafuasi wake automatikali, tena alipo lissu masisiemu hua yanajikunyata ndani na kusikilizia tu
Najaribu kukuelewa nashindwa. Unamaanisha kuna Ccm wanawalipa watu wajae kwa lisu?
Wewe unatakiwa ukaeudie darasa la kwanza. Yaani mataga cjui akili zenu zimeenda wapi. Unataka kusema hao wagombea wa ccm wanao wanachama mamia kwa mamia ktk kila mkoa. Endeleeni kujitekenya. C mliwanunua wabunge mnalalamika nn sasa wapitisheni. Tuibadilishe Tanzania hawa wasiojua dunia inaenda wapi ndio wanaoidumaza nchiHatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.
Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.
Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.
Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Wala sioUnaweza kukuta wewe kwa akili hizi ni think-tank wa chama na moja ya washauri wa katibu wa itikadi na uenezi. CCM kuna sehemu tulikosea!
Kila mgombea CCM aliyeshinda kura za maoni anao wanachama jimboni mwake. Kumbuka huu mtandao wanawasiliana kutengeneza hali tete Kila mahali apitapo Lisu. Wengi waanaomshangilia na kumfuata ni Wana CCM mikakati.Wewe unatakiwa ukaeudie darasa la kwanza. Yaani mataga cjui akili zenu zimeenda wapi. Unataka kusema hao wagombea wa ccm wanao wanachama mamia kwa mamia ktk kila mkoa. Endeleeni kujitekenya. C mliwanunua wabunge mnalalamika nn sasa wapitisheni. Tuibadilishe Tanzania hawa wasiojua dunia inaenda wapi ndio wanaoidumaza nchi
Huu Uzi kashonee kiraka cha nguo .Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.
Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.
Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.
Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Endeleeni kudanganyana tu mkija kushtuka kumekucha Jogoo Hilo linawika kokoliko,CCM mnapaswa kujui Siasa inHatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.
Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.
Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.
Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Mwaka huu watachinjana wenyewe kwa wenyeweFreed Freed,
Huu ujinga ndio mlimuingiza nao mkenge Magufuli kuwa ili akubalike sana, atoe hela ya kuwanunua wapinzani kisha waseme wanaenda kuunga mkono juhudi. Matokeo yake saa hii kapanick haelewi inakuwaje watu wanajaa kwa Lissu. Ili kupooza hasira ya Magufuli, matapeli mliomuingiza mjini mzee wa watu, mnakuja na hizi post ili kumpoteza maboya.
Sina hata chembe ya upuuziMtoa mada ni mpuuzi
Kina nani?Endeleeni kudanganyana tu mkija kushtuka kumekucha Jogoo Hilo linawika kokoliko,CCM mnapaswa kujui Siasa in
Mwaka huu watachinjana wenyewe kwa wenyewe
Kuna Uzi mwingine alidai Wanajeshi WA Tz waliwahi kupiga Rwanda Enzi za JK waliingia Hadi sebuleni Kwa PK ,jamaa sidhani kama dishi liko mahala pake.Kuna uzi mmoja ulisema jf imekuwa hacked. Sasa naanza kuamini.
Ulidhani sio kweli, njoo jeshini uulizieKuna Uzi mwingine alidai Wanajeshi WA Tz waliwahi kupiga Rwanda Enzi za JK waliingia Hadi sebuleni Kwa PK ,jamaa sidhani kama dishi liko mahala pake.