Ukweli wa mafuriko ya Lissu wafichuka, ni watoa rushwa CCM wanahaha kwa kuwatuma wafuasi wao

Hapana, wengi wametumwa na mafisadi kutikisa kiberiti kwa CCM. Siasa mchezo wa hovyo Sana.
Wafuasi wa lisu ni wafanyakazi, wakulima na wanafunzi, vijana wasio na ajira, ndugu na jamaa wa waliotekwa na kuteswa na utawala wa awamu ya tano. Full stop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…