Ukweli wa mapigano ya mji wa Bakhmut nchini Ukraine

Ukweli wa mapigano ya mji wa Bakhmut nchini Ukraine

Ukraine ana Mifumo 2 tu ya Patriot.Moja kutoka Marekani na Moja kutoa Ujerumani.

Cha ajabu,Patriot 2 zimeweza kulinda anga la Kiev kikwelikweli. Kila Urusi ikirusha Makombora Kiev yanaambulia patupu.

Sasa ninawaza zikiwekwa 10 kwa mji mmoja? Kama huu mziki woote ni hizo mbili tuu Mmarekan na German
 
Acha kutulisha matango poli Patriot imekuja juzi tu kabla ya hapo anga la Kiev tiyari lilisha kuwa na mifumo kutoka Ujerumani, Uingereza, Israel na mwingine ya S300 ambayo Ukraine alipewa na Soravakia.
Mkuu hii Soravakia ipo sayari ipi?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Bakhumut was already falling 🤣🤣🤣
Mrusi ni hatari
 
shehena ya Ukraine inalipuliwa hizo patroit zilifikiri kunguru zinakuja hazikutambua hypersonic
 
Mapigano ya Bakhmut nimeyafuatilia kwa kina bila Upendeleo wowote ule. Ukweli uko hivi:

1.Wapiganaji wa WAGNER kazi yao ni kuuteka mji wa Bakhmut(City centre) wakitokea Mashariki mwa Dotnesk.

2.Wanajeshi wa Urusi (Russia Regular Army) walipewa kazi mbili:
(i) Kuteka vijiji vote vinavyouzunguka mji wa Bakhmut wakitokea Kusini na Kaskazini.
(ii) Kutoa Air Support na Arterraly kwa Vikosi vya Wagner. Wagner wanatumia Drones kupata Coordinates mahali wanajeshi wa Ukraine walipo then wanazituma kwa Wanajeshi wa Urusi ambao wanapiga Maroketi kuelekea huko.

Matokeo yake

1. Vikosi vya Wagner vimewazidi nguvu wanajeshi wa Ukraine ambao wanadhibiti sehemu ndogo tu (12%) ya Mji wa Bakhmut. Baada ya kuona hivyo, Wanajeshi wa Ukraine wameanza kuukimbia Mji wa Bakhmut kimkakati kama ifuatavyo:
(i) Brigade 3 za Wanajeshi wa Ukraine zimeelekea North ambapo baada ya Mapambano makali, wanajeshi wa Urusi wameanza kuyakimbia maeneo yao na kutekwa na wanajeshi wa Ukraine wanaokimbia mji wa Bakhmut ulioharibiwa.
(ii) Brigade 4 za Wanajeshi wa Ukraine zimeelekea South na kukumbana na wanajeshi wa Urusi. Mapigano makali yameripotiwa jana na Wanajeshi wa Urusi wamerudi nyuma umbali wa Mita 570 kuelekea Mashariki.

Malalamiko ya Kiongozi wa Wagner

Kuna Video kadhaa zimesambaa zikimuonesha Kiongozi wa Wagner akilalamika kwamba Wanajeshi wa Urusi wanayakimbia maeneo yao huko Kusini na Kasikazini mwa Bakhmut. Kitendo hicho kitasababisha Wapiganaji wa Wagner Kuzungukwa (Encircled) kama watasonga mbele kuuteka mji wa Bakhmut.

Kwahiyo tutalajie mambo 3:

1. Wanajeshi wa Wagner kuuteka mji wa Bakhmut na baadae kuzungukwa na vikosi vya Ukraine endapo wanajeshi wa Urusi wakiendelea kutimua Mbio.

2. Wapiganaji wa Wagner Kusitisha kusonga mbele kuelekea mji wa Bakhmut mpaka pale watakapoona Wanajeshi wa Ukraine wanarudishwa nyuma na Wanajeshi wa Urusi ili kuepuka kuzungukwa.

3. Wapiganaji wa Wagner kuuteka mji wa Bakhmut baada ya wanajeshi wa Urusi kuwarudisha nyuma wanajeshi wa Ukraine upande wa South na North. Mpaka sasa Urusi imepeleka Reinforcement ya wanajeshi 50,000 kuelekea Bakhmut ili kuzuia majeshi ya Ukraine yanayosonga mbele South na North.
Naona leo hii bakhmut imesha bebwa na URUSI....ULIKUWA UNAONGEA ukweli au uwongo??
IN war don't trust any declaration of weakness from your enemy....it is always a TRAP.. huwezi jua mtego wake ni nini? , hebu tusubiri zaidi taarifa
 
Naona leo hii bakhmut imesha bebwa na URUSI....ULIKUWA UNAONGEA ukweli au uwongo??
IN war don't trust any declaration of weakness from your enemy....it is always a TRAP.. huwezi jua mtego wake ni nini? , hebu tusubiri zaidi taarifa

Hapa weken maneno ya akiba kidogo bado ni saa nne asubuh mpaka jua litue mengi yatakuja
 

Key Donbass city fully liberated – Moscow​

Artyomovsk, also known as Bakhmut, has been captured, the Russian Defense Ministry confirmed
Key Donbass city fully liberated – Moscow

Fighters from the Wagner PMC in Artyomovsk, Russia, May 19, 2023. © Sputnik
The Russian troops have completely liberated the strategic Donbass city of Artyomovsk, the scene of a grueling battle for many months, the Russian Defense Ministry confirmed in the early hours of Sunday.
The operation in the city known to Ukrainians as Bakhmut was executed by the “offensive actions” of the private military company Wagner Group with artillery and air support from regular Russian forces, the MOD said.
The statement from the MOD came hours after Wagner chief Evgeny Prigozhin announced on social media that his fighters had taken complete control of the city.
 
Mapigano ya Bakhmut nimeyafuatilia kwa kina bila Upendeleo wowote ule. Ukweli uko hivi:

1.Wapiganaji wa WAGNER kazi yao ni kuuteka mji wa Bakhmut(City centre) wakitokea Mashariki mwa Dotnesk.

2.Wanajeshi wa Urusi (Russia Regular Army) walipewa kazi mbili:
(i) Kuteka vijiji vote vinavyouzunguka mji wa Bakhmut wakitokea Kusini na Kaskazini.
(ii) Kutoa Air Support na Arterraly kwa Vikosi vya Wagner. Wagner wanatumia Drones kupata Coordinates mahali wanajeshi wa Ukraine walipo then wanazituma kwa Wanajeshi wa Urusi ambao wanapiga Maroketi kuelekea huko.

Matokeo yake

1. Vikosi vya Wagner vimewazidi nguvu wanajeshi wa Ukraine ambao wanadhibiti sehemu ndogo tu (12%) ya Mji wa Bakhmut. Baada ya kuona hivyo, Wanajeshi wa Ukraine wameanza kuukimbia Mji wa Bakhmut kimkakati kama ifuatavyo:
(i) Brigade 3 za Wanajeshi wa Ukraine zimeelekea North ambapo baada ya Mapambano makali, wanajeshi wa Urusi wameanza kuyakimbia maeneo yao na kutekwa na wanajeshi wa Ukraine wanaokimbia mji wa Bakhmut ulioharibiwa.
(ii) Brigade 4 za Wanajeshi wa Ukraine zimeelekea South na kukumbana na wanajeshi wa Urusi. Mapigano makali yameripotiwa jana na Wanajeshi wa Urusi wamerudi nyuma umbali wa Mita 570 kuelekea Mashariki.

Malalamiko ya Kiongozi wa Wagner

Kuna Video kadhaa zimesambaa zikimuonesha Kiongozi wa Wagner akilalamika kwamba Wanajeshi wa Urusi wanayakimbia maeneo yao huko Kusini na Kasikazini mwa Bakhmut. Kitendo hicho kitasababisha Wapiganaji wa Wagner Kuzungukwa (Encircled) kama watasonga mbele kuuteka mji wa Bakhmut.

Kwahiyo tutalajie mambo 3:

1. Wanajeshi wa Wagner kuuteka mji wa Bakhmut na baadae kuzungukwa na vikosi vya Ukraine endapo wanajeshi wa Urusi wakiendelea kutimua Mbio.

2. Wapiganaji wa Wagner Kusitisha kusonga mbele kuelekea mji wa Bakhmut mpaka pale watakapoona Wanajeshi wa Ukraine wanarudishwa nyuma na Wanajeshi wa Urusi ili kuepuka kuzungukwa.

3. Wapiganaji wa Wagner kuuteka mji wa Bakhmut baada ya wanajeshi wa Urusi kuwarudisha nyuma wanajeshi wa Ukraine upande wa South na North. Mpaka sasa Urusi imepeleka Reinforcement ya wanajeshi 50,000 kuelekea Bakhmut ili kuzuia majeshi ya Ukraine yanayosonga mbele South na North.
 

Attachments

  • Screenshot_20230520-201256.png
    Screenshot_20230520-201256.png
    159.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20230520-200925.png
    Screenshot_20230520-200925.png
    192.2 KB · Views: 4
  • 5355922-0d22fd924f539d34e3717bfe5cb1a073.mp4
    3.9 MB
Hiyo Bakhmut imekunywa damu aiseee, Russia anaogopa kuupoteza huo sababu atavunja moyo raia wake ijapokuwa hawatamani kuona vita ikiendelea.

Ukraine anautamani ili kuwapa morale zaidi askari wake.

Hamna kitu kinasubiriwa kama hiyo counter offensive ya Ukraine. Hizi long range missiles zinazopelekewa huko tutasikia mengi sana.
Kwa hiyo Ilianzia Crimea utaishia Crimea hakuna tena..
 
Hyo sehemu ya bakhmut inayogombaniwa ukiitolea mfano Tz ni kama sehemu gani? Maaana panaonekana Kuna potentials nyingi sana hapo sio Kwa mapigano hayo
Wanasema Bakhmut ni njia panda ya kwenda maeneo mengine ndani ya Ukraine. Wakiiteka ni sawa wameziba njia zote na kuweka kinga kwa maeneo mengine ndani ya Donbas.

Kwa hapa Tanzania ukiwa unapush kutoka Kusini ni sawa na Morogoro. Utakua umekinga Mbeya, Iringa, Dar na maeneo yote ya Kusini mwa Tanzania.
 
Wanasema Bakhmut ni njia panda ya kwenda maeneo mengine ndani ya Ukraine. Wakiiteka ni sawa wameziba njia zote na kuweka kinga kwa maeneo mengine ndani ya Donbas.

Kwa hapa Tanzania ukiwa unapush kutoka Kusini ni sawa na Morogoro. Utakua umekinga Mbeya, Iringa, Dar na maeneo yote ya Kusini mwa Tanzania.
Shukran nimekupata vema
 
Back
Top Bottom