Ukraine ana Mifumo 2 tu ya Patriot.Moja kutoka Marekani na Moja kutoa Ujerumani.
Cha ajabu,Patriot 2 zimeweza kulinda anga la Kiev kikwelikweli. Kila Urusi ikirusha Makombora Kiev yanaambulia patupu.
Mkuu hii Soravakia ipo sayari ipi?Acha kutulisha matango poli Patriot imekuja juzi tu kabla ya hapo anga la Kiev tiyari lilisha kuwa na mifumo kutoka Ujerumani, Uingereza, Israel na mwingine ya S300 ambayo Ukraine alipewa na Soravakia.
Upeo wako mdg sana , mwenzio kaweka nondo wewe unaleta story za kikeSyory za Vijiweni
Zenye Mlengo Maalumu
Askari wa urusi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji468][emoji468]Mtaongea yote ...
Urusi kapiteza askari 187300 mpaka Jana jioni !!! Acha vifaru na magari ya vita haamini alichokutana nachoBakhmut imekunywa damu, kupoteza askari kwa rate ya 3 digits sio mchezoView attachment 2627985
Hyo sehemu ya bakhmut inayogombaniwa ukiitolea mfano Tz ni kama sehemu gani? Maaana panaonekana Kuna potentials nyingi sana hapo sio Kwa mapigano hayoMpaka sasa Urusi imechoma moto patriots 6.
Naona leo hii bakhmut imesha bebwa na URUSI....ULIKUWA UNAONGEA ukweli au uwongo??Mapigano ya Bakhmut nimeyafuatilia kwa kina bila Upendeleo wowote ule. Ukweli uko hivi:
1.Wapiganaji wa WAGNER kazi yao ni kuuteka mji wa Bakhmut(City centre) wakitokea Mashariki mwa Dotnesk.
2.Wanajeshi wa Urusi (Russia Regular Army) walipewa kazi mbili:
(i) Kuteka vijiji vote vinavyouzunguka mji wa Bakhmut wakitokea Kusini na Kaskazini.
(ii) Kutoa Air Support na Arterraly kwa Vikosi vya Wagner. Wagner wanatumia Drones kupata Coordinates mahali wanajeshi wa Ukraine walipo then wanazituma kwa Wanajeshi wa Urusi ambao wanapiga Maroketi kuelekea huko.
Matokeo yake
1. Vikosi vya Wagner vimewazidi nguvu wanajeshi wa Ukraine ambao wanadhibiti sehemu ndogo tu (12%) ya Mji wa Bakhmut. Baada ya kuona hivyo, Wanajeshi wa Ukraine wameanza kuukimbia Mji wa Bakhmut kimkakati kama ifuatavyo:
(i) Brigade 3 za Wanajeshi wa Ukraine zimeelekea North ambapo baada ya Mapambano makali, wanajeshi wa Urusi wameanza kuyakimbia maeneo yao na kutekwa na wanajeshi wa Ukraine wanaokimbia mji wa Bakhmut ulioharibiwa.
(ii) Brigade 4 za Wanajeshi wa Ukraine zimeelekea South na kukumbana na wanajeshi wa Urusi. Mapigano makali yameripotiwa jana na Wanajeshi wa Urusi wamerudi nyuma umbali wa Mita 570 kuelekea Mashariki.
Malalamiko ya Kiongozi wa Wagner
Kuna Video kadhaa zimesambaa zikimuonesha Kiongozi wa Wagner akilalamika kwamba Wanajeshi wa Urusi wanayakimbia maeneo yao huko Kusini na Kasikazini mwa Bakhmut. Kitendo hicho kitasababisha Wapiganaji wa Wagner Kuzungukwa (Encircled) kama watasonga mbele kuuteka mji wa Bakhmut.
Kwahiyo tutalajie mambo 3:
1. Wanajeshi wa Wagner kuuteka mji wa Bakhmut na baadae kuzungukwa na vikosi vya Ukraine endapo wanajeshi wa Urusi wakiendelea kutimua Mbio.
2. Wapiganaji wa Wagner Kusitisha kusonga mbele kuelekea mji wa Bakhmut mpaka pale watakapoona Wanajeshi wa Ukraine wanarudishwa nyuma na Wanajeshi wa Urusi ili kuepuka kuzungukwa.
3. Wapiganaji wa Wagner kuuteka mji wa Bakhmut baada ya wanajeshi wa Urusi kuwarudisha nyuma wanajeshi wa Ukraine upande wa South na North. Mpaka sasa Urusi imepeleka Reinforcement ya wanajeshi 50,000 kuelekea Bakhmut ili kuzuia majeshi ya Ukraine yanayosonga mbele South na North.
Naona leo hii bakhmut imesha bebwa na URUSI....ULIKUWA UNAONGEA ukweli au uwongo??
IN war don't trust any declaration of weakness from your enemy....it is always a TRAP.. huwezi jua mtego wake ni nini? , hebu tusubiri zaidi taarifa
Hayo matamshi aliyatoa kama chenga ya mwili huku akijiandaa kumalizia kuuteka mji wa Bakhmut. Leo saa sita za mchana ameuteka rasmi Bakhmut!! Ni habari mbaya kwa Zelensky ambaye yuku ziarani kubembeleza silaha kwa G7.Wakati huo[emoji1787]View attachment 2627766
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mapigano ya Bakhmut nimeyafuatilia kwa kina bila Upendeleo wowote ule. Ukweli uko hivi:
1.Wapiganaji wa WAGNER kazi yao ni kuuteka mji wa Bakhmut(City centre) wakitokea Mashariki mwa Dotnesk.
2.Wanajeshi wa Urusi (Russia Regular Army) walipewa kazi mbili:
(i) Kuteka vijiji vote vinavyouzunguka mji wa Bakhmut wakitokea Kusini na Kaskazini.
(ii) Kutoa Air Support na Arterraly kwa Vikosi vya Wagner. Wagner wanatumia Drones kupata Coordinates mahali wanajeshi wa Ukraine walipo then wanazituma kwa Wanajeshi wa Urusi ambao wanapiga Maroketi kuelekea huko.
Matokeo yake
1. Vikosi vya Wagner vimewazidi nguvu wanajeshi wa Ukraine ambao wanadhibiti sehemu ndogo tu (12%) ya Mji wa Bakhmut. Baada ya kuona hivyo, Wanajeshi wa Ukraine wameanza kuukimbia Mji wa Bakhmut kimkakati kama ifuatavyo:
(i) Brigade 3 za Wanajeshi wa Ukraine zimeelekea North ambapo baada ya Mapambano makali, wanajeshi wa Urusi wameanza kuyakimbia maeneo yao na kutekwa na wanajeshi wa Ukraine wanaokimbia mji wa Bakhmut ulioharibiwa.
(ii) Brigade 4 za Wanajeshi wa Ukraine zimeelekea South na kukumbana na wanajeshi wa Urusi. Mapigano makali yameripotiwa jana na Wanajeshi wa Urusi wamerudi nyuma umbali wa Mita 570 kuelekea Mashariki.
Malalamiko ya Kiongozi wa Wagner
Kuna Video kadhaa zimesambaa zikimuonesha Kiongozi wa Wagner akilalamika kwamba Wanajeshi wa Urusi wanayakimbia maeneo yao huko Kusini na Kasikazini mwa Bakhmut. Kitendo hicho kitasababisha Wapiganaji wa Wagner Kuzungukwa (Encircled) kama watasonga mbele kuuteka mji wa Bakhmut.
Kwahiyo tutalajie mambo 3:
1. Wanajeshi wa Wagner kuuteka mji wa Bakhmut na baadae kuzungukwa na vikosi vya Ukraine endapo wanajeshi wa Urusi wakiendelea kutimua Mbio.
2. Wapiganaji wa Wagner Kusitisha kusonga mbele kuelekea mji wa Bakhmut mpaka pale watakapoona Wanajeshi wa Ukraine wanarudishwa nyuma na Wanajeshi wa Urusi ili kuepuka kuzungukwa.
3. Wapiganaji wa Wagner kuuteka mji wa Bakhmut baada ya wanajeshi wa Urusi kuwarudisha nyuma wanajeshi wa Ukraine upande wa South na North. Mpaka sasa Urusi imepeleka Reinforcement ya wanajeshi 50,000 kuelekea Bakhmut ili kuzuia majeshi ya Ukraine yanayosonga mbele South na North.
Kwa hiyo Ilianzia Crimea utaishia Crimea hakuna tena..Hiyo Bakhmut imekunywa damu aiseee, Russia anaogopa kuupoteza huo sababu atavunja moyo raia wake ijapokuwa hawatamani kuona vita ikiendelea.
Ukraine anautamani ili kuwapa morale zaidi askari wake.
Hamna kitu kinasubiriwa kama hiyo counter offensive ya Ukraine. Hizi long range missiles zinazopelekewa huko tutasikia mengi sana.
Wanasema Bakhmut ni njia panda ya kwenda maeneo mengine ndani ya Ukraine. Wakiiteka ni sawa wameziba njia zote na kuweka kinga kwa maeneo mengine ndani ya Donbas.Hyo sehemu ya bakhmut inayogombaniwa ukiitolea mfano Tz ni kama sehemu gani? Maaana panaonekana Kuna potentials nyingi sana hapo sio Kwa mapigano hayo
Shukran nimekupata vemaWanasema Bakhmut ni njia panda ya kwenda maeneo mengine ndani ya Ukraine. Wakiiteka ni sawa wameziba njia zote na kuweka kinga kwa maeneo mengine ndani ya Donbas.
Kwa hapa Tanzania ukiwa unapush kutoka Kusini ni sawa na Morogoro. Utakua umekinga Mbeya, Iringa, Dar na maeneo yote ya Kusini mwa Tanzania.