Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
God is Dead!Bado unazunguka swali. Hujalijibu.
Nakuuliza kwa nini niamini Mungu yupo, unaniambia lazima niamini.
Sitaki kulazimishwa, nataka kujibiwa mpaka nielewe na kukubali kwa hiyari yangu.
Kwa nini unasema ninachokiona kimekuwepo kwa uwezo wa Mungu?
Ninachokiona leo ni kimbunga kinachoitwa Matthew, kimeua watu masikini 900 huko Haiti.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao unawezekana kuwa na kimbunga kama hiki wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na kimbunga kama hiki bila ya kupungukiwa na chochote?
Mwaka 2006 tukiwa katika kitongoji bunj'ruMungu ni Matokeo ya Ujinga wa Binadamu Kushindwa Kung'amua Mazingira Yake na Vyanzo Vyake!
Alipoona Radi,Ujinga Wake Ukamtuma Kutafsiri Kuwa Mizimu/Mungu Amekasirika!
Mvua Ilipokata Kunyesha Aliamini Mizimu/Mungu Amekasirika,and the Only Way To Appease is By Sacrificing to Him!
Sayansi Ilipokua Ilimwezesha Mtu Kuondoa Imani Katika Kutafsiri Maana ya Vyanzo na Matokeo ya Vyote Vilivyotokea ktk Mazingira Yake!Iwe Mwanga,Jua,Uzazi,Kifo et al!
Badala ya Imani,Mtu Akaweza KUJUA!
Na Kujua Huku Kukaua Wazo la Mungu!
God is A Wishful Thought in The Man's Brain!
And That Thought was Killed By Human's Schence!
Hujathibitisha hilo, umesema tu. Thibitisha.Siwezi kukimbia nilikuwa natoka job naelekea home,
Mungu yupo ni roho tukufu inayoishi milele Mungu muumba wa vyote hakuna chochote ambacho hakijaumbwa na Mungu yeye amekuwepo milele yote
Nini ilikuwa sababu ya huo mlipukoHewa mgandamizo ya aina mbalimbali na vipande vipande vya aina mbalimbali mlipuko ulipelekea kuundwa kwa sayari na nyota na vyote vilivyopo kwa ujumla wake ktk ulimwengu
Ndio!Mungu ni Wazo Lililo Kichwani Mwako,Tena Wazo Hilo ni Tokeo la Wewe Kushindwa Kuyajua Mazingira Yako!Ujinga Huu Kwa Kushindwa Kuujua na Kuuondoa,Umeupa Jina la "Mungu"!Wewe unajua unachokisema?
Mkuu naona kama unatumia hisia zaid nakuacha akili nyuma katika kutafakar jambo ili.Umeuliza hapo kua inakuaje Mungu aumbe dunia yenye matatizo meng.Uku nikuingilia maamuz yake binafsi kama ilivyo kwako unavyoweza kuamua kununua gar badala yakujenga nyumba.Dhana yakusema uwepo wa Mungu wetu unajichanganya izo bado niakili zakibinadamu kuwaza tusiyokua na uwezo nayo.Tulipewa akil zituraisishie maisha aya tuliyopewa sio kutaka kuwaza zaidi yajinsi aliyetuumba alituumba.kwaiyo lazima ujue uwezo wetu wakufikir una limit ndo maana kamwe huwez pata majibu ya uwepo wa Mungu kama unavyotaka.Kama ambavyo huwez jua mwenzako anawaza nin ndivyo jins ambavyo hatuwez kujua Mungu aliwaza nin kuumba ivyo ndo maana kukawa na dhana ya wenye busara ya KUAMINI.Hujathibitisha.Umeandika tu.
1. Hakuna ushahidi kwamba ulimwengu umeumbwa na Mungu.Ungeumbwa na Mungu wenu huyo mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, mabaya yasingewezekana. Kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
Kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao viumbe vyake vinapatwa na matetemeko ya ardhi, vita, njaa etc wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hayo yote hayawezekani kama wewe usivyoweza kurudi nyuma katika muda?
2. Vyote vilivyomo katika Ulimwengu havijapangwa kwa mpangilio thabiti. Ulimwengu ume waste space kubwa sana. 99% of the atom is empty space.
99.9999999999999999999999999999% of the observable universe is empty space. Such a waste.
3. Uhai wa viumbe hauthibitishi kuwepo kwa Mungu. Unathibitisha kutokuwepo kwa huyo Mungu wenu. Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao viumbe vinaweza kupata magonjwa na kufa wakati angeweza kuumba ulimwengu ambao viumbe hivi haviwezi kupata magonjwa na kufa?
Utasemaje aliyeumba ulimwengu huu unao waste space hivi amepanga vitu kwa mpangilio thabiti?
Hoja zako zote za kujaribu kuonesha kuna Mungu wenu huyo kiukweli zinazidi kuonesha kwamba huyo Mungu hayupo.
Tatanishi?Mwaka 2006 tukiwa katika kitongoji bunj'ru
km 47 inje ya jiji la Yaoundé Cameroon kuna mtafiti tulikutana nae anaetafiti vitu vya kale raia wa Greece alikuwa akifanya uchunguzi katika bwawa la maji linalotumika na kijiji hicho kwanini hairuhusiwi kuchota Maji na chombo cha chuma, shaba, aluminium akiambiwa akigusisha chombo ktk Maji atanyanganywa na asichokijua na akiludia mda mwingine naye ataondoka, alichota akanyanganywa chombo hakikuonekana tena hakurudia Mara ya pili aliogopa watu wengi walipotea ktk mazingira tatanishi kwa ujinga wao!
WEWE UNAAMINI SHETANI YUPO?
UNAAMINI UCHAWI UPO?
UNAWAJUA BAKTERIA WASIOONEKANA KWA MACHO?
Kwani hayo unayoshangaa kutokea si sehemu ya kazi yake au unakosa maswali mengine zaidi ya hili la kwanini kaumba ulimwengu wenye mabaya?Hujathibitisha hilo, umesema tu. Thibitisha.
Kama Mungu yupo, ndiye muumba yote, ni mjuzi wa yote, muweza yote na ana upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kufanyika?
Utasemaje naingilia maamuzi binafsi ya Mungu wakati hujathibitisha kama yupo?Mkuu naona kama unatumia hisia zaid nakuacha akili nyuma katika kutafakar jambo ili.Umeuliza hapo kua inakuaje Mungu aumbe dunia yenye matatizo meng.Uku nikuingilia maamuz yake binafsi kama ilivyo kwako unavyoweza kuamua kununua gar badala yakujenga nyumba.Dhana yakusema uwepo wa Mungu wetu unajichanganya izo bado niakili zakibinadamu kuwaza tusiyokua na uwezo nayo.Tulipewa akil zituraisishie maisha aya tuliyopewa sio kutaka kuwaza zaidi yajinsi aliyetuumba alituumba.kwaiyo lazima ujue uwezo wetu wakufikir una limit ndo maana kamwe huwez pata majibu ya uwepo wa Mungu kama unavyotaka.Kama ambavyo huwez jua mwenzako anawaza nin ndivyo jins ambavyo hatuwez kujua Mungu aliwaza nin kuumba ivyo ndo maana kukawa na dhana ya wenye busara ya KUAMINI.
Hujathibitisha Mungu yupo.Kwani hayo unayoshangaa kutokea si sehemu ya kazi yake au unakosa maswali mengine zaidi ya hili la kwanini kaumba ulimwengu wenye mabaya?
Inaposemwa muumba wa yote hapa inagusa mazuri na mabaya na kayaweka kwa kusudio muaalum na yapo yote ili yawapate binadamu.
Jaribu kufuatilia kwanini kawaleta binadamu duniani na si sehemu nyingine?
Hivi kabla ya Mungu kuumba kulikuwa na nini?hivi kwani kabla ya ulimwengu kufanyika (big bang) kulikuwepo na nini?
St Augustine aliulizwa swali kama hili.Hivi kabla ya Mungu kuumba kulikuwa na nini?
hahaaa, na ukimuuliza creationist ni kitu gani kinaweza kubadili mawazo yake juu ya uwepo wa Mungu atakujibu "HAKUNA"! Inahitaji moyo wa barafu kudebate na hawa watu!St Augustine aliulizwa swali kama hili.
Aliulizwa kabla mungu kuumba dunia alikuwa anafanya nini?
Akashindwa kujibu.
Akasema Munguvalikuwa anaumba moto wa kuwachomea watakaouliza swali hili.
Hakuna anayejua jibu.
Kwa sababu Mungu huyu hayupo.
Ni ujinga ambao kadiri siku zinavyoenda utapita tu.hahaaa, na ukimuuliza creationist ni kitu gani kinaweza kubadili mawazo yake juu ya uwepo wa Mungu atakujibu "HAKUNA"! Inahitaji moyo wa barafu kudebate na hawa watu!
Sababu za Mungu kuumba ulimwengu na yote yaliyomo mema na mabaya anazijua mwenyewe ni sawa na kukuta mhunzi aliweka alama ktk finyanzi yake huwezi fahamu kusudio lakeHujathibitisha hilo, umesema tu. Thibitisha.
Kama Mungu yupo, ndiye muumba yote, ni mjuzi wa yote, muweza yote na ana upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kufanyika?
Kuwepo kwa Mungu kunathibitishwa na uhai lakini wewe huna fact ya kuthibitisha kutokuwepo MunguSt Augustine aliulizwa swali kama hili.
Aliulizwa kabla mungu kuumba dunia alikuwa anafanya nini?
Akashindwa kujibu.
Akasema Munguvalikuwa anaumba moto wa kuwachomea watakaouliza swali hili.
Hakuna anayejua jibu.
Kwa sababu Mungu huyu hayupo.