Mungu ni Matokeo ya Ujinga wa Binadamu Kushindwa Kung'amua Mazingira Yake na Vyanzo Vyake!
Alipoona Radi,Ujinga Wake Ukamtuma Kutafsiri Kuwa Mizimu/Mungu Amekasirika!
Mvua Ilipokata Kunyesha Aliamini Mizimu/Mungu Amekasirika,and the Only Way To Appease is By Sacrificing to Him!
Sayansi Ilipokua Ilimwezesha Mtu Kuondoa Imani Katika Kutafsiri Maana ya Vyanzo na Matokeo ya Vyote Vilivyotokea ktk Mazingira Yake!Iwe Mwanga,Jua,Uzazi,Kifo et al!
Badala ya Imani,Mtu Akaweza KUJUA!
Na Kujua Huku Kukaua Wazo la Mungu!
God is A Wishful Thought in The Man's Brain!
And That Thought was Killed By Human's Schence!