Muccigang
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 1,313
- 1,918
Habari guys
Kuna kitu watu wengi huwa hawakisemi ila kwa utafiti wangu na bado najiuliza kwanini watu huwa hawakisemi
kufanya kazi kwa kuaminianaau makubaliano.
Unafanya biashara na watu unawapa pesa kisa unawaamnini no contract itakufanya uhisi unamikosi kila siku maana utavuna maumivu na itakupa shida kudai haki yako mdaiwa hafungwi kumbuka.
ONGEZEN ZINGINE TUZID KUJIFUNZA
Kuna kitu watu wengi huwa hawakisemi ila kwa utafiti wangu na bado najiuliza kwanini watu huwa hawakisemi
kufanya kazi kwa kuaminianaau makubaliano.
Unafanya biashara na watu unawapa pesa kisa unawaamnini no contract itakufanya uhisi unamikosi kila siku maana utavuna maumivu na itakupa shida kudai haki yako mdaiwa hafungwi kumbuka.
ONGEZEN ZINGINE TUZID KUJIFUNZA