Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuna habari inazunguka mitandaoni kwamba Kocha wa Yanga ( Ambaye pia ndio Mganga wa timu hiyo kutokana na kuwahi kufanya shughuli za uganga kwao Congo ) , Ndugu Zahera Mwinyi ana mpango wa kuikacha timu yenye njaa kali ya Yanga na kuhamia Azam.
Kama kuna mwenye ukweli wa hili atuwekee hapa .
Kama kuna mwenye ukweli wa hili atuwekee hapa .