Ukweli wabainika ,Babu Tale ana pesa chafu kuliko Diamond

Du! Ila kamtoa mbali.
Na hiki ndicho kinachofanya diamond asipige hatua za hapo , inabidi achukue maaamuzi magumu ya kuachana na tale bila hivyo itakula kwake kama vile Tip Top connection ilivyokula kwao
 
Angekuwa na hela asingeomba poo kwenye ile kesi aliyokuwa anadaiwa fidia ya Tshs.200mil
 
Angekuwa na hela asingeomba poo kwenye ile kesi aliyokuwa anadaiwa fidia ya Tshs.200mil
Ni ubahiri tu

Kwani wewe hujaona mtu ana milioni moja mfukoni lakini njiani akikuta shilingi mia anaokota
 
Kweli bora amuajiri Le Mutuz alisomea mambo ya meli lakini ni talented sana kwenye intertainment industry. Si mnakumbuka ile show ya Diamond Tukuyu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Hapo mm sipo mkuu
 
Tatizo mashabiki wa diamond mnaushabiki unaovuka mipaka diamond tumemjua sababu ya muziki mambo mengine hayatuhusu kivile sijaona alikofeli tale sema mi naona abadili style ya kutembea kila kona na diamond anaonekana kama mbeba bag
Au ulitaka aongozane na tunda man ambae anamtusi na show kwa mwaka moja
 
Ni ubahiri tu

Kwani wewe hujaona mtu ana milioni moja mfukoni lakini njiani akikuta shilingi mia anaokota


Mtu anatia huruma kabisa useme eti ni ubahili tu,tena chini ya kapeti ka hujui basi ujue kuwa 'simba' alimaliza show nzima ya hilo sakata
 
Hapo uliposema Diamond aachane naye ndio nimeona kama ni fitna tu.

Labda ungehoji mbona kawatelekeza kina Tunda na Madee, mpaka Madee kaanza kupora simu na kutaka kuua mtu kwa kumdai dola mia tano tu.
 
Hivi manager wa Diamond si nasikiaga eti ni Salam au.? Naomba kueleweshwa.
Wapo wengi kila mmoja na kazi ake wale wakina tale na fela wao soko la ndani ndo kazi yao nje sallam pamoja na collabo kubwa z kimataifa kwa soko la ndan media zote had upite kwa tale na fella ko hawez waacha
 
Hizi ndio zawabongo,majungu tu.haya kawe ww meneja wa mondi
 
Hiyo avatar mbona inafanana na ya mtu mmoja aliyekuwa akiitumia humu?
Bila shaka ni multiple I.D nahisi ile i.d nyingine ilipigwa life ban au ban ya miezi 6...
 
Watanzania kwa majungu kila sehemu mmejaa wivu..ujinga..chuki ...kiroho cha husda acheni wivu acheni majungu...maofisni hivyo hivyo kila pahala majuuunguuu....mnakera sana nyie mijitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…