Ukweli wanywa pombe wana roho nzuri kuliko wanywa soda

Ukweli wanywa pombe wana roho nzuri kuliko wanywa soda

kiroka

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2018
Posts
358
Reaction score
1,887
Mimi sinywi pombe kabisa lakini kwa experience niliyo nayo wanaume wengi ambao wanakunywa pombe wana roho nzuri kuliko sisi wanywa soda

Ninao ndugu na marafiki wanywaji na wasio kunywa Frank speaking walevi wana roho nzuri wengi sio wanafiki wana roho za kusaidia hapa nadhani na wala mjani ni watu peace saana ni nadra sana kukuta mlevi mwenye roho ngumu

Ukubali au unatae walevi vile vikao vya wanaume baa vinawajenga saana kua gentleman wanaume walevi mara chache saana kumkuta anaendeshwa na mke wake kama mlevi ameoa mwanamke kisirani au mwenye roho mbaya ni rahis saana mlevi kum control huyo mwanamke

Walevi hawana reasoning za ajabu anaweza akakutana na mtu hamjui as long as yupo mbele ya macho yake na ana shida atamsadia tu

Sisi ambao tunajifanya walokole ni wanafiki tuna roho mbaya kusaidia wenzio unaona km hasara mwenzio akipata mchongo unaona nongwa yaan tabu tupu wengi wetu tunaendeshwa na wake zetu kwa kujifanya romantic ujinga mtupu,

Kongole kwa vikao vya baa vina impact kubwa saana kwenye maisha
 
Eti unaambiwa usiwe unasaidia saidia watu usiowajua wengine wametumwa na shetani. 🤣🤣🤣
 
Na nyie wakati mnakunywa mirinda zenu hakikisheni chupa mnaziosha kwa dettol au sanitizer kabla hamjanywa. Mtanishukuru kwa ushauri huu kuntu
Siku hizi mwendo ni take away tu chupa tumewaachia waleeee
 
Mimi sinywi pombe kabisa lakini kwa experience niliyo nayo wanaume wengi ambao wanakunywa pombe wana roho nzuri kuliko sisi wanywa soda

Ninao ndugu na marafiki wanywaji na wasio kunywa Frank speaking walevi wana roho nzuri wengi sio wanafiki wana roho za kusaidia hapa nadhani na wala mjani ni watu peace saana ni nadra sana kukuta mlevi mwenye roho ngumu

Ukubali au unatae walevi vile vikao vya wanaume baa vinawajenga saana kua gentleman wanaume walevi mara chache saana kumkuta anaendeshwa na mke wake kama mlevi ameoa mwanamke kisirani au mwenye roho mbaya ni rahis saana mlevi kum control huyo mwanamke

Walevi hawana reasoning za ajabu anaweza akakutana na mtu hamjui as long as yupo mbele ya macho yake na ana shida atamsadia tu

Sisi ambao tunajifanya walokole ni wanafiki tuna roho mbaya kusaidia wenzio unaona km hasara mwenzio akipata mchongo unaona nongwa yaan tabu tupu wengi wetu tunaendeshwa na wake zetu kwa kujifanya romantic ujinga mtupu,

Kongole kwa vikao vya baa vina impact kubwa saana kwenye maisha

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja, na ndio wanaongoza kusema bia moja ni sawa na tofali mbili😜😜😜

317E08E7-0955-46D5-A7E3-E9F8CB50DAA6.jpeg
 
Mimi sinywi pombe kabisa lakini kwa experience niliyo nayo wanaume wengi ambao wanakunywa pombe wana roho nzuri kuliko sisi wanywa soda

Ninao ndugu na marafiki wanywaji na wasio kunywa Frank speaking walevi wana roho nzuri wengi sio wanafiki wana roho za kusaidia hapa nadhani na wala mjani ni watu peace saana ni nadra sana kukuta mlevi mwenye roho ngumu

Ukubali au unatae walevi vile vikao vya wanaume baa vinawajenga saana kua gentleman wanaume walevi mara chache saana kumkuta anaendeshwa na mke wake kama mlevi ameoa mwanamke kisirani au mwenye roho mbaya ni rahis saana mlevi kum control huyo mwanamke

Walevi hawana reasoning za ajabu anaweza akakutana na mtu hamjui as long as yupo mbele ya macho yake na ana shida atamsadia tu

Sisi ambao tunajifanya walokole ni wanafiki tuna roho mbaya kusaidia wenzio unaona km hasara mwenzio akipata mchongo unaona nongwa yaan tabu tupu wengi wetu tunaendeshwa na wake zetu kwa kujifanya romantic ujinga mtupu,

Kongole kwa vikao vya baa vina impact kubwa saana kwenye maisha
Unaonaje ukijiunga nap ukaachana na walokole wanafiki ili uwe na amani kupanga ni kuchagua.
 
Ni kawaida kabisa tabia ya waovu kujifanya wemaaaa kiaina ili kuwavuta wengine wengi wajiunge na ile njia yao pana iendayo ^jela-namu^
 
Pombe ni mbaya ila kwakweli wanaosiokunywa wananishangaza kwa kupenda majungu na umbea mwingi.

Ila sasa wasiokunywa pombe wengi wao ni wazinzi sana.
 
Mimi sinywi bia ila na roho nzuri tu, roho nzuri huzaliwa nayo mtu regardless ya kunywa au kutokunywa, sema walevi huwa wako vizuri kwenye kutoa offer kwa walevi wenzao
 
Sijawahi kuona faida ya kunywa pombe ila pia ajabu zaidi sijawahi kuona faida ya kutokunywa. So acha ninywe tu as long as nakunywa hela (matofali) yangu sioni shida.
 
Mimi sinywi bia ila na roho nzuri tu, roho nzuri huzaliwa nayo mtu regardless ya kunywa au kutokunywa, sema walevi huwa wako vizuri kwenye kutoa offer kwa walevi wenzao
Kama una roho nzuri kweli nitunuku tunda basi nina kipururu mbayaa.
 
Mlevi hana roho nzuri anaweza kumnunulia mtu pombe za elf 30, lakini mtuhuyo anaemnunulia akisema ananjaa amnunulie ugali wa buku hapati na ofa ya pombe inaishia hapo na anaweza kuhama bar pia.

Anyway,mipia na piga vyombo lakini roho yangu sio nzuri wala mbaya.
 
Back
Top Bottom