Ukweli wanywa pombe wana roho nzuri kuliko wanywa soda

Ulishawahi ona wapi walevi hawachomi nyama .hakuna watu wanakula vizuri kama wanywa bia
 
Mbona walevi mnahangaika sana kuonesha mko vizuri? Acheni kujishtukia kunyweni pombe zenu salama.
Ni kwa sababu nyinyi msiokua walevi, mnahangaika sana kuonyesha sisi ni watu wa hovyo!

Ukisikia neno "Mlipa kodi", ujue tunaongelewa sisi
 
Wanaojaliana ni wavuta Sigara tu,hata kama hawajuani wanasupotiana
 
Ulishawahi ona wapi walevi hawachomi nyama .hakuna watu wanakula vizuri kama wanywa bia

Nakubali mkuu, lakini kama hupigi round labda ukute nyama imeagizwa ya jumla mlewote sio unakujapale watu washakula, huzungushi round unakula monde tuuu alafu unaomba ununuliwe chakula,!! imekuka kwako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mwili sio wakutolewa hovyo, vingine vyote vya kibinadamu unaweza kupata msaada ila sio mbususu
Hapo ndio unakosea. Ukiwa na million moja ukanipa laki zinabaki laki tisa ila ukinipa tunda still unabaki nalo hivyo hivyo wala sipunguzi kitu.

Sasa huoni kama unapiga hesabu kwa kukosea?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mwili sio wakutolewa hovyo, vingine vyote vya kibinadamu unaweza kupata msaada ila sio mbususu

Dah, nilikuwa nasubiri kuona kama jamaa atapata ili na mimi niombe, ndo tushakosa hivi.
 
Makundi ya walevi yapo hatarini kulawitiwa
Kama ww siyo mlevi shukuru sana.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Your browser is not able to display this video.
 
kwa akili ya hivo hata huyo mnywa soda hajengi,kuna ambao hawanywi bia lakini wanahonga ,anayekunywa elfu 10,000 na anayehonga Malaya 50,000 Nani afadhali
You never know boss, maana ni good inspirational speakers over wanywaji
 
Mimi sinywi bia ila na roho nzuri tu, roho nzuri huzaliwa nayo mtu regardless ya kunywa au kutokunywa,
Kwa hiyo ndugu shahidi message unayotaka kutuma hapa ni kwamba mazingira hayawezi kubadilisha roho ya mtu kutoka roho mbaya kwenda roho nzuri au kutoka roho nzuri kwenda roho mbaya?
 
Wewe bar unakwenda kula ugali au kupiga vyombo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…