Ukweli,

Ukweli,

Sharo hiphop

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
660
Reaction score
104
Naaaaaaaam wana jf!
Hivi kwa nini mara nyingi mtu ukimweleza ukweli kuhusu alivyo unaweza kuzua balaa?
Mfano mtu anaweza kuwa kahaba lakini ukimwambia kuwa yeye ni malaya unakosana nae.
Mtu anaweza kuwa mlevi lakini mwambie kuwa yeye ni mlevi, utakosana nae,
mtu utakuta anaiba, lakini mwambie kuwa yeye ni mwizi, mtatoana meno.

hivi hi ni kwa nini? Kwa nini mtu asifurahi akiambiwa ukweli na ikiwezekana ajirekebishe? Hapa kuna nini?


jumapili njema.
 
Ukweli unauma...........................................
 
ukitaka kuwa adui namba moja wa mtu siku zote mwambie ukweli. Ukweli unauma jamani.
 
hakuna mtu anayependa kutajwa kwa tabia yake mbaya.
Aliyemkarimu/mwenye heshima/mchapa kazi na wengine wenye tabia njema, mbona hachukiwi unapomtaja kwa tabia hizo?
Kwanini? Coz hazimuweki hatarini na wala watu hawatomuekea tahadhari kama ile wanayoiweka kwa mtu mwizi/ mpiga chabo/ teja/ muongo na wengene wenye tabia mbaya
 
si kila ukweli lazima useme, kama huamini sema ukweli kwa vyote ulivyofanya uone
 
si kila ukweli lazima useme,
kama huamini sema ukweli kwa vyote ulivyofanya uone
 
Mtu anakasirika kwasababu kabla hujamwambia,yeye roho yake ilishamsuta mara kibao kuhusu tabia yake ila akashindwa kujirekebisha.kwahiyo wewe unamuongezea maumivu tu
 
Wachache wanapenda, nilimuona mmoja akiorodhesha kwenye kitabu idadi na majina ya wanawake aliotembea (do nao) nao. Mpaka naondoka alikuwa amewakumbuka 213 na bado alikuwa anaendelea kuorodhesha. Anaitwa mzee wa KIMINYIO.
 
Wachache wanapenda, nilimuona mmoja akiorodhesha kwenye kitabu idadi na majina ya wanawake aliotembea (do nao) nao. Mpaka naondoka alikuwa amewakumbuka 213 na bado alikuwa anaendelea kuorodhesha. Anaitwa mzee wa KIMINYIO.

3244!!!
 
Kama mtu anapenda kubadika akiambiwa ukweli unauma lakini anafanya jitihada za kujivua hilo gamba. Lakini kama hajui kuwa ana matatizo na anahitaji kupona, Ukimwambia ukweli atasema usifuatilie maisha yangu. Kwa hiyo hapa inategemea ni ukweli gani unasemwa kwa nani?
 
Back
Top Bottom