DOKEZO Ukwepaji kodi kupitia EFD ni mkubwa kweli mpaka nimeona uchungu Kariakoo leo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Acha uzandiki broo, uliyoandika mwanzo ndio ukweli halisi tena ni tz nzima sio kariakoo pekee, unapata faida gani kutetea wakwepa kodi?
Hii ni kweli kabisa akuongopa why anakuja kanusha?? Ua amepata PM anatakiwa aisaidie Police 🤣🤣🤣Kaamuwa kukana ili akwepe!
 
Ukitaka kuwakokota watanzania kwa wepesi kabisa, wazungumzishe kuhusu jambo linalohusu ESCROW utawainua mpaka viwete!
 
NAONA UMEBANANISHWA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…