Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
hapa hatupo kwaajili ya kubishana bali tupo kwa ajili ya kufundishana na kujuzana.
hivi gari kuwa na nguvu kubwa mfano kuwa na speed kubwa kunahusiana na cc??
Si ndio hapo mkuu, watu wanazungumza mengi wanacho sahau ni uhusiano wa horse power na engine displacement - specs hizo zinarandana sana na ulaji wa mafuta kwa engine ambazo ni natural aspiring lakini linapokuja suala la turbocharged engines compressed hewa inaingia kwa silinda ya engine kwa wingi hivyo fuel injectors zina tema mafuta kwa wingi ku maintain ratio ya 1:1 i.e fuel to air ratio ku support a complete combustion, sasa ulazimishaji wa hewa nyingi na mafuta mengine ufanya engine ya 2000 C.C ifikie power ya injini ya 4000 C.C huo ni ujanja wa ma designer wa internal cumbustion engines - engine ndogo power kubwa na ulaji mafuta mkubwa.
Mimi sioni logic ya kutaka kubadirisha ECM na sensors za gari ya 4000cc say na kuweka module ya 1800cc kisa? Kupunguza ulaji wa mafuta!!! Kitu cha kwanza engine performance itakuwa highly degraded kutokana na cylinder kujazwa mchanganyiko wa hewa na mafuta ambayo specs zake zili kuwa designed for an 1800cc engines na sio 4000cc torque itakayo kuwa generate na pistons kwenye crankshaft baada ya combustion itakuwa ni ndogo sana.