Dar jam nyingi sana tatizo, yani hapa na hapa hasa rush hours ila wa mikoani wanapeta tuHapa umesema ukweli. Ndio maana hizo gari watu wanasema zinabwia. Hamna mtu ataendesha kwa principles ili uweze kupata l/km zilizoainishwa na mtengenezaji. Hio gari hapa Dar ukijitahidi Sana 6km/l.
Mwongo, hujui unachoelezaDuh[emoji15]unaendesha gari kwa Rpm3 [emoji15]hio gari au Guta[emoji3]
Eti gea zinachelewa kuji ingej[emoji3]kwa hio ukivuta mafuta gea zinawahi kubadili na ndio sabb ya kunywa mafuta au sio[emoji3]
Hawa ndio madereva waliozoea kutingisha free kila aonapo mteremko[emoji3]hajui athari yake ni nini[emoji3]
Ulaji wa mafuta sio kukandamiza xleta wewe dereva wa bajaji[emoji3]
Ulaji wa mafuta ni kutokana na CC ya ENGINE,unaweza ukalinganisha CC engine No-ya Vitz na ya Crown[emoji3]
Vits CC yake haifiki hata Elf1[emoji3]
Wewe hujiulizi kwanini serikali inalipisha ushuru mkubwa wa gari kutokana na CC ENGINE?
Mkuu naona labda saumu kali[emoji3]
Usitudanganye bwana, hakuna lolote unalolijua..Mkuu ukinunua Crown ni sawa na umefunga nayo ndoa,ni hazifai kwa consuption ya mafuta
Tena ikiwa V6 hio ni ndoa hata kuuza huiuzi labda utauza bei ya bodaboda
Crown ikiwa Highway unaenda zaidi ya speed 110 hapo utaiona geji ya mafuta inavyopuliza[emoji38]
Kwa swala la Luxury,Full Options pia barabarani zinatulia,Hapo kwa Crown ni kiboko
Lkn kwa upande wa mafuta ndio ni kichef chefu hazifai
Pia
Brevis
Mark II GX 110 Grand
Mark II GX 100
Hizo zote hazifai kwasbb ni V6 kwa mafuta unaweza ukaiacha gari barabarani,hususa kwa town unatembelea gea kubwa kwasbb ya Jam hapo kila baada ya siku 2 lazma mafuta ya 40 elf yatahitajika ndio taa ya petrol izimike ktk gej ya mafuta[emoji1321][emoji3603]
Kwa uhakika ingia App ya Kupatana utazikuta hizo gari zikiwa bado safi kabisa lakini bei zake zinavyouzwa hazizidi Milion4[emoji1321][emoji3603]
Usitudanganye bwana, hakuna lolote unalolijua..
Hayo magari uliyoyataja na hizo kilometers ulizosema unaonyesha dhahiri shahiri wewe humiliki gari aina yoyote ,sana sana utakuwa unamiliki bodaboda au baiskeli
Mkuu ukinunua Crown ni sawa na umefunga nayo ndoa,ni hazifai kwa consuption ya mafuta
Tena ikiwa V6 hio ni ndoa hata kuuza huiuzi labda utauza bei ya bodaboda
Crown ikiwa Highway unaenda zaidi ya speed 110 hapo utaiona geji ya mafuta inavyopuliza[emoji38]
Kwa swala la Luxury,Full Options pia barabarani zinatulia,Hapo kwa Crown ni kiboko
Lkn kwa upande wa mafuta ndio ni kichef chefu hazifai
Pia
Brevis
Mark II GX 110 Grand
Mark II GX 100
Hizo zote hazifai kwasbb ni V6 kwa mafuta unaweza ukaiacha gari barabarani,hususa kwa town unatembelea gea kubwa kwasbb ya Jam hapo kila baada ya siku 2 lazma mafuta ya 40 elf yatahitajika ndio taa ya petrol izimike ktk gej ya mafuta[emoji1321][emoji3603]
Kwa uhakika ingia App ya Kupatana utazikuta hizo gari zikiwa bado safi kabisa lakini bei zake zinavyouzwa hazizidi Milion4[emoji1321][emoji3603]
ukisikiwa unasema hivo utachekwa unataka litumiaje mafuta yani...angalia ukubw wa engine uzito Wa gari then unataka liende 15km/L na ni petrol ?? uko out of ur mind ?? gari zote saizi ya crown ndo ulaji wake huo achen sema crown inKula mafuta ....weka brevis weka Nissan fuga.. crown na zingne zaizi hiyo kisha ndo useme crown inakula mafuta sio kucompare crown na ist kina rav4 nkMkuu ukinunua Crown ni sawa na umefunga nayo ndoa,ni hazifai kwa consuption ya mafuta
Tena ikiwa V6 hio ni ndoa hata kuuza huiuzi labda utauza bei ya bodaboda
Crown ikiwa Highway unaenda zaidi ya speed 110 hapo utaiona geji ya mafuta inavyopuliza[emoji38]
Kwa swala la Luxury,Full Options pia barabarani zinatulia,Hapo kwa Crown ni kiboko
Lkn kwa upande wa mafuta ndio ni kichef chefu hazifai
Pia
Brevis
Mark II GX 110 Grand
Mark II GX 100
Hizo zote hazifai kwasbb ni V6 kwa mafuta unaweza ukaiacha gari barabarani,hususa kwa town unatembelea gea kubwa kwasbb ya Jam hapo kila baada ya siku 2 lazma mafuta ya 40 elf yatahitajika ndio taa ya petrol izimike ktk gej ya mafuta[emoji1321]♂️
Kwa uhakika ingia App ya Kupatana utazikuta hizo gari zikiwa bado safi kabisa lakini bei zake zinavyouzwa hazizidi Milion4[emoji1321]♂️
ww ndo jinga kabisa mbona Extrovert kaelezea vizuri ...kwamba hapo hujaelewa nn yaniDuh[emoji15]unaendesha gari kwa Rpm3 [emoji15]hio gari au Guta[emoji3]
Eti gea zinachelewa kuji ingej[emoji3]kwa hio ukivuta mafuta gea zinawahi kubadili na ndio sabb ya kunywa mafuta au sio[emoji3]
Hawa ndio madereva waliozoea kutingisha free kila aonapo mteremko[emoji3]hajui athari yake ni nini[emoji3]
Ulaji wa mafuta sio kukandamiza xleta wewe dereva wa bajaji[emoji3]
Ulaji wa mafuta ni kutokana na CC ya ENGINE,unaweza ukalinganisha CC engine No-ya Vitz na ya Crown[emoji3]
Vits CC yake haifiki hata Elf1[emoji3]
Wewe hujiulizi kwanini serikali inalipisha ushuru mkubwa wa gari kutokana na CC ENGINE?
Mkuu naona labda saumu kali[emoji3]
Nini madhara ya kutumia N gear kwenye mtelemko?Duh[emoji15]unaendesha gari kwa Rpm3 [emoji15]hio gari au Guta[emoji3]
Eti gea zinachelewa kuji ingej[emoji3]kwa hio ukivuta mafuta gea zinawahi kubadili na ndio sabb ya kunywa mafuta au sio[emoji3]
Hawa ndio madereva waliozoea kutingisha free kila aonapo mteremko[emoji3]hajui athari yake ni nini[emoji3]
Ulaji wa mafuta sio kukandamiza xleta wewe dereva wa bajaji[emoji3]
Ulaji wa mafuta ni kutokana na CC ya ENGINE,unaweza ukalinganisha CC engine No-ya Vitz na ya Crown[emoji3]
Vits CC yake haifiki hata Elf1[emoji3]
Wewe hujiulizi kwanini serikali inalipisha ushuru mkubwa wa gari kutokana na CC ENGINE?
Mkuu naona labda saumu kali[emoji3]
Nini madhara ya kutumia N gear kwenye mtelemko?
Nini madhara ya kutumia N gear kwenye mtelemko?
7-9km/l at average, hio ni kwa economical driving. Ukiendesha ki sifa (kwa wale wa overtake zisizo lazima na kushuka tuta anatoka na speed mia) ndio utapigwa 4.5-6km/l ama kama matunzo hafifu!
Nini madhara ya kutumia N gear kwenye mtelemko?
safari ndefu ndio raha ya 6 cylindersNaam huu ndo ulaji wa mafuta wa hili Crown ..so kama pumzi yako ndogo nakushauri usikurupuke kulileta ndani..lakini kwa safari ndefu utafurahi na roho yako..maana mnyama anakupa burudani zote unazozitaka.
Uko sahihi mkuu, nilishachunguzaga sana hiloNiwaambie sasa, niliwahi fanya research ndogo kuhusu gari aina ya Toyota Progress Engine CC 2400, nilichofanya baada ya kukabidhiwa tu na Muuzaji nikaipiga full Tank lita around 60, nikatembea nayo muda wa siku tatu then nikarud nayo petrol station nikajaza tena full tank nikapiga hesabu lita nilizotumia kwa siku zile 3. Then nikachukua utofauti wa kilometa wa siku nakabidhiwa gari na siku ile ya tatu niliyoweka tena mafuta nikagundua kuwa kwa kila lita 1 katika zile siku 3 nimetembea km 6.5. Na huu ndo ulaji halisi wa gari zote za CC 2400 hadi 2900 km gari itatembea chini ya km 80 kwa saa Muda mwingi.
Unaelewa ulichokiandika kweli?
Usitudanganye bwana, hakuna lolote unalolijua..
Umenena vema kiongoziMi watu huwa mnanishangaza sana mnapolalamika juu utumiaji wa mafuta. Unapotaka kununua gari nunu gari unaloweza kumudu kulihudumia in terms of Service zake, spare zake, bima , ulaji wa mafuta. Hii kulalamika kuwa gari fulani inakunywa mafuta ni kununua gari ambayo huna uwezo nayo. Watu wana magari yana 6000cc. Sasa utasemaje 2500 cc inakula. Cha msingi wewe kama ni wa duet ninua duet. Kama ni wa boda boda nunua hiyo. Usilazimishe kununua usichoweza kuhudumia. period
Labda alimaanisha StarletAltezza inaenda 15km/l?
Kweli mkuu anatuingiza chaka.