Kwa gari ya cc1490 inabidi upate zaidi ya 10km/l iwe mjini au highway.Habari wakuu, samahani naomba msaada nina subaru impreza ya 2008 cc1490, 70,000km. Kwenye dashboard inaonyesha ulaji wa mafuta ni 8.6km/l na pia nikicalculate manually range inaangukia kwenye 8 kwa safari za mjini na highway, lakini wadau wenye haya magari wanasema ni 10km/l kwa mjini na 14-15km/l highway, wajuzi naomba kujua tatizo lipo wapi
jamaaa maelezo, hayajatosha, nahisi umemeza madini,mwagika zaidi mwambaKwa gari ya cc1490 inabidi upate zaidi ya 10km/l iwe mjini au highway.
Hata mimi nina Passo ina km 66500... lakini rumion achana nalo halina muonekano mzuri.... nunua angalau runx au allex zipo powa sana... ilaa kwa mimi natamani baadae ninunue toyota Belta nimeipenda sanaMi my next car ni rumion kwa sasa naendesha passo tena ni ya pili baada ya ya mwanzo iufikisha 160000km nikaiuza, nikanunua mpya ina 34000km na sasa ina 67000 km napiga nayo safari nyingi tu toka kanda ya ziwa hadi dar
Mkuu mm huwa naangalia engine, spares mwonekano kwangu unakuja mwisho kabisa. Honda crossroad kwangu naipenda sababu ya mwonekano ila nimeambiwa ikiloga spea hadi uagize njeHata mimi nina Passo ina km 66500... lakini rumion achana nalo halina muonekano mzuri.... nunua angalau runx au allex zipo powa sana... ilaa kwa mimi natamani baadae ninunue toyota Belta nimeipenda sana
Tatizo lipo kwenye gari lenyewe ni Subaru!Habari wakuu, samahani naomba msaada nina subaru impreza ya 2008 cc1490, 70,000km. Kwenye dashboard inaonyesha ulaji wa mafuta ni 8.6km/l na pia nikicalculate manually range inaangukia kwenye 8 kwa safari za mjini na highway, lakini wadau wenye haya magari wanasema ni 10km/l kwa mjini na 14-15km/l highway, wajuzi naomba kujua tatizo lipo wapi