Jemsi
Senior Member
- Mar 22, 2012
- 149
- 19
Habari wakuu, samahani naomba msaada nina subaru impreza ya 2008 cc1490, 70,000km. Kwenye dashboard inaonyesha ulaji wa mafuta ni 8.6km/l na pia nikicalculate manually range inaangukia kwenye 8 kwa safari za mjini na highway, lakini wadau wenye haya magari wanasema ni 10km/l kwa mjini na 14-15km/l highway, wajuzi naomba kujua tatizo lipo wapi