SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mada yako ni mada za kishoga, huhitaji elimu ya darasa la 4 kujua kwamba wewe ni shoga kwa sababu umejitanabaisha mwenyewe kwenye mada yako kwamba unapigwa miti.

Mashoga ndio wakishapigwa miti wanajiandikia andikia mada zozote zinazokuja vichwani mwao bila kufikiri, bila kufanya utafiti, bila maarifa yoyote.

Ungekua sio shoga usingeandika ulichokiandika. Baada ya kutoka kupigwa miti ukakurupuka kujiandikia tu chochote. Kichwani mwako umejaza mavi.
 
We bwege huo upumbavu ni wa kuzaliwa au umeukuta duniani? Sijaona jinga km wewe
 
Ni kweli kabisa ngano,wali na ndizi ni vyakula ambavyo ni best kabisa vinasaidia kuongeza akili respect wahaya,wachaga,wanyakyusa na wakinga wanakimbiza sana
Tukienda kwenye takwimu kwa kuzingatia carbohydrate , protein na fat.
Ngano inamzidi mahindi takribani asilima 2 tu lakini energy na fat ni kama zinakaribiana, mchele unazidiwa na mahindi kwa kwenye nyanja zote energy, protin na fat, ndizi ndo iko chini kabisa inazidiwa takribani kcal 300 za energy na pia kiwango cha protin cha ndizi hakizidi asilimia 1.

Hivyo unga wa mahindi yasiyokobolewa ni miongoni mwa vyakula bora sana tatizo ni uandaaji na ulaji usio na ustaarabu ila ugali wa unga usiokobolewa ni chakula bora sana na ukiongezea na mboga yenye virutubisho vingi vya vitamin, madini na protin asee asikwambie mtu ugali ni the best. Ila ugali wa kukobolewa ndio makapi hauna faida.
 
So long as kitu sio sumu au ukiondoa ile sumu cha maana diet yako iwe balanced..., vyakula vyote ukizidisha vinaweza kuwa na madhara....

Na dunia ya sasa madhara mengi yanasababishwa na excess..., ugali ni staple food ya tatu au nne duniani bila hio staple wengi wangekosa hio wanga - it just happen na sehemu ulipo na mazingira ni chakula gani kinakubali kustawi (upatikanaji)
 
Kitu kibaya zaidi ni kwamba watu wengi wanakula ugali mweupe, unaotokana na mahindi yaliyokobolewa.

Kukoboa mahindi kunaondoa protini.

Ugali unakuwa na wanga tu.

Ugali wenye virutubisho ni wa unga wa dona. Unga wa mahindi yasiyokobolewa.
Tena dona sasa ulipate na maziwa mgando! Na ka kuku ka kienyeji pembeni, weeee!!
 
Ugali unaoliwa west Africa sio wa mahindi.
Mahindi ni chakula cha wanyama,na wazungu walipoleta Africa kama msaada unga ulikuwa na nembo "Donor"
Sasa watu malimbukeni ndio utawakuta wanatangaza eti ugali wa dona ni chakula cha wanaume kumbe chakula cha ng'ombe.
 
Unasema mahindi ni chakula cha wanyama!??, unazijua corn flakes!?, unazijua pop corn zinaliwa majumba yote ya cinema (movies) ulimwenguni kote!?,yote hayo ni aina ya mahindi, yakisagwa yanatoa unga safi. Sema watu weusi mna asili ya kujidharau. Na ugali unaoliwa west ni mahindi na muhogo tusidandanyane hapa. Nimeishi nao huko. Shule zote za vipaji unazozijua wewe za hapa nchini zinazokuwaga top 10 kwenye matokeo, 95% ya chakula chao ni ugali wa mahindi. Sema nimegundua wabongo wengi malimbukeni tu.
 
Blazaa huu ni ugali tu unauchamba hapa au kuna lingine?' 😂
 
Inawezekana kuna ukweli ndo maana mkoa ninaotokea ukikuta mtu anakula chakula kingine anakwambia karibu chakula ila ukiwa ugali anakwambia karibu ugali
 
Raisi wa nchi gani?
Tanganyika, Zanzibar au Tanzania?
 
Nini kilitangulia kati ya wakoloni na kilimo cha mahindi,.!?,nyie watu mna matatizo kichwani hata kutumia google hamjui. Ila mna justify upumbavu wenu kwasababu nyepesi nyepesi..
Mahindi, funza, mihogo na korosho vyote vililetwa na Mreno toka Amerika. Havina asili ya Afrika
 
Ugali haufai
Usile maugali, utakuwa ovyo kifikira
 
Top 10 za kibongo ni kitu gani?
Wizi wa mitihani,kusomea mitihani siyo akili hii bali ni dalili ya akili kuwa utumwani!
Watu wenye akili wana reason sana hawawezi kutembea na marking scheme ya NECTA hivyo sio rahisi kupata hizo A za mchongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…