TANZIA Ulale pema peponi baharia wangu

TANZIA Ulale pema peponi baharia wangu

Mkuu chongoe inabidi mpate elimu ya huduma ya kwanza (Elementary First Aid).

Baharia yeyote anatakiwa awe amesoma kozi za awali za ubahari zinamuwezesha kukabiliana na huduma ya kwanza,moto, mazingira na kuishi na watu tofauti. Kwenye majahazi najua wengi wanapiga kwa uzoefu. Elimu ya huduma ya kwanza kwa manahodha na mabaharia ni muhimu sana
 
Wakuu nina huzuni sana samaki amesababisha ajali kwa baharia wangu tulikuwa tunarudi Zanzibar kwa kutumia jahazi tukatosa Mshipi kwa ajili ya kutafuta kitoeleo tulipokuwa Karibu na mafia samaki akanasa kwenye Mshipi.

Alikuwa nguru baharia wangu baada ya kumpakia samaki kwenye jahazi kwa bahati mbaya samaki akatafuna kisigino ilimwagika damu nyingi sana na mpaka tunafika bandarini tukampeleka hospitali ikawa ameshafariki

Tangulia baharia

View attachment 2907909
Pole sana.
 
Mgemfunga mguu damu isingetoka nyingi uzembe kwaiyo mlifanyaje alovyong'atwa alimtoboa mshipa mkubwa
 
Back
Top Bottom