Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,803
- 1,601
Njoo uone kulivyo na vibaka lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umesema. Eti ulaya hakuna wezi wa simu. Huu ni uwendawazimu uliohitimu!vibaka wapo wengi tu..kwani ulaya ki2 gani bana? Ulayaa ulayaa, c mwende huko mkaajiriwe kuzibua sewage.!
Mimi natamani anachokula tu!
:love:jambo dada:love:
Subiri wakutane na Waromania, ndio wanajua kama Ulaya kuna vibaka au la!
sjambo kaka...
:love:
:A S angry:
sasa nini hash jamani????we unayosema na preta kule mazuri hiyo mim nijibu salam ya kaka uukunje hivyo huo uso wako??lol...
kwani mpaka useme sijambo na love love juu yake? we si ungesema sijambo kavu kavu?...l.o.l
Wivu gani huo sasa mchana mchana!kwani mpaka useme sijambo na love love juu yake? we si ungesema sijambo kavu kavu?...l.o.l
sipati picha watoto ka hawa wajiachie hivi tandika
waingilia strategic areas za watu yakhee