Ulaya kodi sio ya kinyonge aisee, Ingekuwa bongo tungeandamana aisee

Ulaya kodi sio ya kinyonge aisee, Ingekuwa bongo tungeandamana aisee

Siri ya raia kulipa kodi kwa kujitolea ni matumizi ya kodi hizo.
Ulaya kodi inarudi kwa raia kwa jina la huduma za jamii , huku kwetu zinanunua v8 400mil plus kwa ajili ya mkurugenzi na vyeo vya kisiasa.
Huo ndio wizi niliosema hapo juu.
 
Natumai nyote ni wazima wa afya. Wakuu hawa watu wanaoitwa wazungu ni wana kodi hadi kero aisee yan hizi tunazolalamikia sisi ni cha mtoto.

Kuna mtu huko marekani kashinda bahati nasibu ya $1.28B lakin kapata $400+ M baada ya kodi, Yaani $800M zote zinaliwa na serikali kama 60% hiv. Vipi ingekuwa na bongo kuna kodi kubwa hivi tungefanyaje?

Btw naomba ushauri wakuu nataka kuanzisha duka la vifaa vya umeme nina mtaji wa 4M ila sina uzoefu [emoji24]
Bora ulaya Kodi zinawatumika 100percent kufacilitate maisha Bora Kwa raia , sasa huku Kodi hata zikiwa kubwa ni useless, utawala mbovu na uongozi ovyo, hizo Kodi zinanufaisha matumbo ya wapuuz flani na familia zao.
 
KINACHOLALAMIKIWA HUKU TANZANIA SIO MLUNDIKANO WA KODI NYINGI BALI NI MATUMIZI YA KODI.........KODI KUBWA WANAZOLIPA HUKO ZINAENDANA NA UBORA WA HUDUMA ZAO ZA KIJAMII......SIO HUKU KWETU TUNALIPA KODI KWA AJILI YA POSHO NA MISHAHARA YA VIONGOZI WA SERIKALI NA SIO MIRADI YA MAENDELEO
Uko sahihi sana jombaaa
 
Back
Top Bottom