Ulaya kwa sasa Serie A ndo ligi bora 2022/2023

Ulaya kwa sasa Serie A ndo ligi bora 2022/2023

Hii ya italy imetokea tu kama Coincidnce na sio kwamba ligi ni bora tayari.

Uefa wana Coefficients so far msimu huu Italy ni ligi ya Pili nyuma ya uingereza

 
This time Madrid kwa City anaweza kupata shida na ninaamini atakaye pita hapandio mwenye nafasi kubwa ya kwenda kuchukua ubingwa. Huku upande mwingine hii derby de madonina wacha wapambane ila sioni timu hata moja inaweza kufikia uwezo wa aidha City au Madrid japokua na historia zao kwenye hii michuano.

Kwa upande wangu kiujumla may be this is time for Man City
 
Hii ya italy imetokea tu kama Coincidnce na sio kwamba ligi ni bora tayari.

Uefa wana Coefficients so far msimu huu Italy ni ligi ya Pili nyuma ya uingereza


Msimu ukimaliza lazima Italy wataongoza tu, hivi sasa England anongoza kwa nusu Point tu.
 
Kikubwa Cha kujivunia ni kuwa Timu zao zote zilizoshiriki mashindano ya Ulaya zinafundishwa na makocha wazawa wenye vipaji ukitoa Roma ambayo inaongozwa na Jose. Wakati EPL makocha wote ni wageni, na akitokea mzawa kufikiriwa ndio tunakutana na kesi za akina Lampard na Potter
 
Msimu ukimaliza lazima Italy wataongoza tu, hivi sasa England anongoza kwa nusu Point tu.
Italy ana nafasi kubwa ndio ila sio Lazima, kama West Ham na Man city wote wanaingia fainali halafu Basel akamfunga Fiorentina na Sevila akamfunga Juve hata Milan mmoja na Roma wakipita England atakua juu,

ili Italy Apite kwa Ulazima inabidi Timu 3 ziingie fainali ama Timu za uingereza Zifungwe Nusu.
 
Kama tutatizama namba ya timu kwenye CL na mashidano mengine madogo ni sawa. Ila vinginevyo si sawa.
 
Naona taratibu wameanza kurudisha utawala wao. Kwa sasa wana timu 5 zinazo cheza hatua za nusu fainali.

Pale champions league kuna Ac Milan na Inter Milan. Hawa wanaenda kukipiga nusu fainali wao kwa wao. Napoli wametolewa na waitaliano wenzao, pengine nao wangekuwepo kama wangekipiga na timu ya nchi nyingine.

Europa pale unawakuta Juventus na Roma ambao pia wanaenda nusu fainali.

Ukimalizia conference league unamkuta Fiorentina nae anaenda kukiwasha nusu fainali.

Kaa tayari kushuhudia vikombe vyote vikienda Italia.

Ilikuwa ni bahati mbaya tu kwa timu yao taifa kushindwa kufudhu fainali za kombe la dunia kule Qatar.
Ila kiwango chao kwa sasa hakikamatiki.
Sijawahi ipenda Serie A na Kwa kweli Sina sababu ya msingi.
Napenda sana La Liga ikifuatiwa na EPL
 
Back
Top Bottom