Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Sawa tutakumbushanaLabda ile Uefa ya PlayStation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tutakumbushanaLabda ile Uefa ya PlayStation
Timu gani hizo kubwa Italy ina majina ya kawaida, si wamejaa wastaafu wa ligi kubwa wa kutosha humo?Na zina watu wenye majina ya kawaida
Man city ndio klabu pekee inayoweza kumzuia madrid kubeba tena hili kombe.Madrid unawachulia poa eti?
Awamu hii Madrid hachomoki kwa Man city.
Naiona fainali ni AC Milan Vs Man city
Sawa wewe usiyeota weka utabiri wakoUnaota
Hii ya italy imetokea tu kama Coincidnce na sio kwamba ligi ni bora tayari.
Uefa wana Coefficients so far msimu huu Italy ni ligi ya Pili nyuma ya uingereza
Man city atapigwa kama ngomaMan city ndio klabu pekee inayoweza kumzuia madrid kubeba tena hili kombe.
Haina ubishi madrid akipita kwa city kombe lake tena.
Italy ana nafasi kubwa ndio ila sio Lazima, kama West Ham na Man city wote wanaingia fainali halafu Basel akamfunga Fiorentina na Sevila akamfunga Juve hata Milan mmoja na Roma wakipita England atakua juu,Msimu ukimaliza lazima Italy wataongoza tu, hivi sasa England anongoza kwa nusu Point tu.
Sijawahi ipenda Serie A na Kwa kweli Sina sababu ya msingi.Naona taratibu wameanza kurudisha utawala wao. Kwa sasa wana timu 5 zinazo cheza hatua za nusu fainali.
Pale champions league kuna Ac Milan na Inter Milan. Hawa wanaenda kukipiga nusu fainali wao kwa wao. Napoli wametolewa na waitaliano wenzao, pengine nao wangekuwepo kama wangekipiga na timu ya nchi nyingine.
Europa pale unawakuta Juventus na Roma ambao pia wanaenda nusu fainali.
Ukimalizia conference league unamkuta Fiorentina nae anaenda kukiwasha nusu fainali.
Kaa tayari kushuhudia vikombe vyote vikienda Italia.
Ilikuwa ni bahati mbaya tu kwa timu yao taifa kushindwa kufudhu fainali za kombe la dunia kule Qatar.
Ila kiwango chao kwa sasa hakikamatiki.
Ukiangalia msimu uliopita na huu,ligi ya Italy imekua Bora kuliko la LigaHii ya italy imetokea tu kama Coincidnce na sio kwamba ligi ni bora tayari.
Uefa wana Coefficients so far msimu huu Italy ni ligi ya Pili nyuma ya uingereza
Msimu uliopita italy ana 15 na Spain 18, Madrid alibeba Uefa,Ukiangalia msimu uliopita na huu,ligi ya Italy imekua Bora kuliko la Liga
Walikoandika teams 2/7 au 1/8 maanake nini?Hii ya italy imetokea tu kama Coincidnce na sio kwamba ligi ni bora tayari.
Uefa wana Coefficients so far msimu huu Italy ni ligi ya Pili nyuma ya uingereza