Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Kuna cku nilisoma CV ya mzungu mmoja kaandika marital status single but one dog, ili akipangiwa kazi ijulikane kuwa ana mbwa wa kumlea, hivyo apewe masaa machache. Nilishangaa sana. Sijawahi ona mnyama kwenye cv ya mtu.
hujawahi ona?!, mbona unatuchanganya?, si wewe ndo umeleta habari ya cv inayo jumuisha mbwa?!.