Mchumba amerudi na ameahidi kutoa kifunga uchumba. Niongeza wanja asighairi kauli yake.Kwanza noah zetu mpaka sasa sizioni.
Walisema walatela kondom mil 50 lkn naona zote wanapeleka njombe tu..
Korosho zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Balimi hupati tenaKwanza noah zetu mpaka sasa sizioni.
Walisema walatela kondom mil 50 lkn naona zote wanapeleka njombe tu..
Korosho zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaaTulitaarifiwa kuwa, serikali imeamua kununua korosho kutoka kwa wakulima kwa bei ya Tsh 3,300/=. Soko tulihakikishiwa kuwa zitatolewa kama vitafunwa kwenye ndege. Pia raia wote tutauziwa kilo mbili mbili si zaidi ya hapo.
Tangu Kauai huu itoke, sijasikia huu mgao wa kilo mbili mbili. Imawezekana umenipita. Foleni iko wapi ya kilo mbili za korosho?
Hata ukipewa hizo kg mbili, zitakusaidia nini zaidi ya kukuongezea nyg mwisho wa siku uliwe bure, tena vichakani!Tulitaarifiwa kuwa, serikali imeamua kununua korosho kutoka kwa wakulima kwa bei ya Tsh 3,300/=. Soko tulihakikishiwa kuwa zitatolewa kama vitafunwa kwenye ndege. Pia raia wote tutauziwa kilo mbili mbili si zaidi ya hapo.
Tangu tamko hili litoke , sijasikia huu mgao wa kilo mbili mbili. Imawezekana umenipita. Foleni iko wapi ya kilo mbili za korosho?
Tunakulaga but in a very small quantity. Kale ka pact ka book ukikala kanakupelekesha kinoma, down kama Kitonga. Sembuse ukila kg 2!Tusingenunua korosho basi