cr7 aliondoka Madrid ikiwa ndo the best team ikiwemo kuchukua uefa mfululizo. Atoke akakutane na challenge mpya ndio tutamwelewa tofaut na ivo atabak kutembelea nyayo za the beast' cr7
Tofauti na barca messi amechezea timu gani ya ligi?Kwa walioangalia game Ya Juventus Na Young Boys Juzi ambapo kama kawaida Cr7 Ameanza mwanzo mwisho
Cha kuuliza hapa watu wanapata wapi uthubutu wa kulinganisha uwezo wa Messi Na Christian Ronaldo ?
Mechi ile Juve walitanguliwa kwa goli 2-0 kwa kipindi kirefu cha mchezo na Cr7akikosa nafasi za wazi yeye na kipa takriban mara 4 au 5...hadi dakika za 70+ kocha alipomuingiza Dybala ambaye ndiye aliyekuja kubadili matokeo na game kuisha kwa sare ya 2-2.
Hakika kuna tofauti kubwa kati ya Messi Na Ronaldo.
Tofauti na barca messi amechezea timu gani ya ligi?
Ubora wa mwanajeshi unapimwa kwa wingi wa vita alivyopigana na kushinda...
Huwezi mlinganisha messi ambaye hajawahi toka nje ya barca na ronaldo ambaye amecheza ligi karibu nne!!
Ligi gani bora zaidi Ya la liga ? Jamani tuangalie uwezo binafsi
Sasa muangalieni tena
Cr7 wenu wiki hii tena atafanya nini ? Na Messi atafanya nini uwanjani halafu tukutane tena monday
Tofauti na barca messi amechezea timu gani ya ligi?
Ubora wa mwanajeshi unapimwa kwa wingi wa vita alivyopigana na kushinda...
Huwezi mlinganisha messi ambaye hajawahi toka nje ya barca na ronaldo ambaye amecheza ligi karibu nne!!
Ayo Maneno kawaambie Wa Argentina kwamba Messi ni zaidi ya Maradona uone watakavyo kujibu.kwao ilo ni tusi wanakwambia Argentina bado haijapata wa kumpiku Diego.Messi kila cku yeye ni bora, hata asipofunga ata-assit. Mungu amembariki sana huyu mjamaa. Hapa nilipo nakimbilia kwenye utu uzima, na tokea nifuatilie soka, na wale waliocheza miaka ya 70 na 80 ambao sikupata bahati ya kuwaona live ila nimewatazama Katika YOU TUBE. Kiukweli hakuna aliyemfikia MESSI mpaka sasa. kwa mbaaali Diego Maradona.
Wewe kacheze pubg soka huwezi
Sasa utafungaje bila kushambulia?! Utamaliziaje bila kushambulia?! Unazingua.
Umeongea maneno mazito kweli kweli ndugu... Yaani ilistahili uyaongelee bungeni dodoma mbele ya waziri mkuu !
Big up
Upo sahihi Cr7 Niwakufananishwa na akina Diego Costa, Luis Suarez, Lukaku ,Mane,Neymar,Grezman nk
Mkuu id yako imenikumbusha game lenyewe la desert storm. Nimecheza kote mpaka mwisho ila nikashindwa kuingia kwenye ngome ile kumtoa general azizHaswaa, hao ndio wa size yake.