Ule utu baina yetu sijui umeenda wapi?

Ule utu baina yetu sijui umeenda wapi?

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Nime angalia ile clip ya bwana Tarimo anavyo buruzana na wale vibaka kuna watu wanapita tu kama hawaoni na isitoshe gari iliyotumiaka ni binafsi na wanaojifanya polisi hawana sare na wakina mama wanaangalia tu badala yakupiga kelele,ili hali siku hizi kuna utekaji,kweli huu ndio utanzania wetu?
 
Ishu ni kwamba watu wanajua ni polisi,sasa unaweza kumzuia polisi kufanya kazi yake?
 
Kwa maisha haya sizani Kam tutafika,utu umepotea kabisa.watu hatuwezi kusaidian ten na tumekuw na mioyo migumu angali tupo na dini zetu,nin maan ya dini sasa
 
Imenifikirisha sana! Vaa viatu vya yule mtekwaji... unapiga kelele hakuna hata wa kukusaidia.
 
Nime angalia ile clip ya bwana Tarimo anavyo buruzana na wale vibaka kuna watu wanapita tu kama hawaoni na isitoshe gari iliyotumiaka ni binafsi na wanaojifanya polisi hawana sare na wakina mama wanaangalia tu badala yakupiga kelele,ili hali siku hizi kuna utekaji,kweli huu ndio utanzania wetu?
Maigizo yamekua mengi watu wanaset location wanaenda kuigiza sasa unaweza ukaingilia kumbe unaharibu kazi za watu ushaelewa ndio hicho watu wamejifunza, hawa wanaopita kufanya maigizo mitaani ndio wamefanya jambo hilo lionekane kawaida kabisa
 
Inshu si kumzuia polisi Bali vibali na vithibitisho vyakumtambulisha vipo kwel??
Hili ni tatizo la serikali,ingetakiwa umma uambiwe kuanzia sasa hivi polisi wakija kumkamata mtu kwanza wawe na vitambulisho,nakwambia ingekuwa hivyo utekaji ungepungua,tatizo hajulikani nani ni tanpol na nani wasio julikana
 
Imenifikirisha sana! Vaa viatu vya yule mtekwaji... unapiga kelele hakuna hata wa kukusaidia.
Oya weee sababu ni maigizo maigizo maigizo mitaani hawa wanaopita wanaigiza igiza maigizo kwa hio wengi walidhani wanaigiza ushaelewa?
 
Ile clip nimeiyona kila nikiskia jamaa analalamika wamsaidie naskia kama nataka kulia 😪inahuzunisha kwakweli basi tu
Yaani dah!,Mungu kamuepusha asingekuwa na nguvu nakuwashinda ndio basi,kuna mwamba anapita anachati tu,wamama wameshika na viuono
 
Ile clip nimeiyona kila nikiskia jamaa analalamika wamsaidie naskia kama nataka kulia 😪inahuzunisha kwakweli basi tu
Polisi ianze na wanaofanya maigizo au hujui kuna vikundi vinavamia mtaa vinaanza kuigiza tu matukio?
 
Back
Top Bottom