mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,162
- 3,088
Nitajie misimu ambayo Rhonadinho, Kaka na zidane waliongoza kwa magoli?Usijitoe ufahamu, MESSI, RONALDO, RONALDINHO, KAKA, ZIDANE hao wote ni VINGO WASHAMBULIAJI NA WALIONGOZA KWA MAGOLI MISIMU MINGI TU.
2006/2007 KAKA TOP SCORE UEFA CHAMPIONS LEAGUENitajie misimu ambayo Rhonadinho, Kaka na zidane waliongoza kwa magoli?
Mpaka mzunguko wa kwanza wa ligi unaisha wote walicheza jumla ya mechi sawa na wote walikuwa na magoli 10(Phiri na Mayele)Kabla yakuumia kacheza mechi ngapi kafunga magoli mangapi???
Hata Ile mechi ya geita mliyonunua hakufunga mje mshupaze mishipa ya shingo kuja kumshindanisha na mayele
Rafu sio kipengele yeye acheze vibaya wamwangalie tuKumbuka Phiri sio straika kama Mayele lakini alimfikia idadi ya magoli. Na kati ya Mayele na Phiri unajua ni nani anayewindwa zaidi hata kufanyiwa rafu za wazi wazi na za hatari
Umeandika utopolo gani tena huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rafu sio kipengele yeye acheze vibaya wamwangalie tu
Mwisho wa siku anapewa ng'ombeNaaam, mwamba atabaki kuwa mwamba tu, na so mwingine namuongelea fiston kalala mayele aka the robot aka the goal mashine.
Hakuna kocha au timu Tanzania asiyetaka huduma ya mayele au striker Kama mayele hakuna nasema Tena hakuna.
Alitokea kijana mmoja kutoka ukoloni fc alikaza msuli siku mbili tatu akawafanya wanasimba wakaanza kuvimba mtaani nakuomba nyimbo za mapambio kuwa hakuna Kama Moses phiri hakuna Kama generally.
Makolo walipiga salute mtaani utadhani wameoka depo kumbe ilikua ni nguvu ya soda kutoka kwa Moses phiri.
Kijana Moto umekata huku the goal machine mayele akiendelea kuwasha Moto kwa kasi ya 5G huku akimpigia simu Moses phiri hashiki Wala kupokea so simu ya Moses phiri inaiita tu haipokelewi.
Makolo fc furaha yao saivi imegeukia kwa CHAMA, saivi wanaimba nyimbo za kuongoza asist huku nyimbo ya Moses phiri na saluti zake zikitupwa mbali na hawataki kusikia habari za the goal machine fiston kalala mayele.View attachment 2455863
Asubiri ng'ombe wake ligi ikiishaMayele unstoppable
Wewe huna ulijualo katika soka kaa kimya umajiaibisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usijitoe ufahamu, MESSI, RONALDO, RONALDINHO, KAKA, ZIDANE hao wote ni VINGO WASHAMBULIAJI NA WALIONGOZA KWA MAGOLI MISIMU MINGI TU.
2006/7 KAKAWewe huna ulijualo katika soka kaa kimya umajiaibisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitaja msimu ambao Ronardinho,Zidane na Kaka wamekuwa top scorer ktk ligi walizocheza nakuahidi nitakusaidia kuutoa huo mwiko hapo nyuma ili uwe huru kifikra...View attachment 2459904
Acha kubishana na makolo hao zao matusi lakini Hana evidence yoyote yakuthibitisha.2006/7 KAKA
Siyo ng'ombe tu hata dada ako atamchukua.Mwisho wa siku anapewa ng'ombe
Yupo anasubiri kaa kwa kutulia.Asubiri ng'ombe wake ligi ikiisha
Yaani wewe ulivyochukuliwa kiwepesi unadhani wanawake wote wapo kama weweSiyo ng'ombe tu hata dada ako atamchukua.
Asante sana afande wa zenji kwa kutambua namna gani Mimi nilivyokua mwepesi.Yaani wewe ulivyochukuliwa kiwepesi unadhani wanawake wote wapo kama wewe