Pre GE2025 Ulega katika kikao kizito na Makonda na Mrisho Gambo, akituliza hali baada ya kurushiana maneno

Pre GE2025 Ulega katika kikao kizito na Makonda na Mrisho Gambo, akituliza hali baada ya kurushiana maneno

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, (kulia) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, mara baada ya mkutano wa hadhara uliofanyika jana mjini Arusha.

Haijafahamika watatu hao walikuwa wanazungumza nini lakini lugha ya picha inaonyesha kama Ulega aliyekuwa kwenye ziara ya kikazi mkoani humo, akiwa anatuliza hali baada ya hali ya kurushiana maneno iliyojitokeza baina ya Makonda na Gamba


Pia, Soma:

- Paul Makonda: Gambo usitake umaarufu wa kijinga, uwe unahudhuria vikao vya maendeleo Mkoa wa Arusha

- Gambo: Mimi sio Mfanyakazi wa Serikali ni Mbunge, Makonda anahitaji kuelimishwa
 
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, (kulia) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, mara baada ya mkutano wa hadhara uliofanyika jana mjini Arusha.

Haijafahamika watatu hao walikuwa wanazungumza nini lakini lugha ya picha inaonyesha kama Ulega aliyekuwa kwenye ziara ya kikazi mkoani humo, akiwa anatuliza hali baada ya hali ya kurushiana maneno iliyojitokeza baina ya Makonda na Gamba
View attachment 3195105

Team work imekosekana hapa, Kuna vitu muda mwingine ni vya kumalizana faragha.

Makonda kamsagia kunguni kwa wananchi Gambo, lahiti Gambo angekuwa mteuliwa wa Mama manake angekuwa ameshachongewa atenguliwe.
 
Hahaha Makonda anataka credit ya kila wafanyacho wenzake, yeye anajiita rais wa mkoa wa Arusha, hataki kusikia kuna mtu anazungumza chochote, yeye ndiye mwenye sauti ya mwisho.

Matatizo ya mkoa anayafahamu yeye tu, wengine wote ni vilaza.

Akiungana na Lisu itapendeza, watanyang'anyana mic, kwa jinsi wapendavyo media.
 
Makonda anapenda kum out shine kila kiongozi kokote kule aendako, anataka aonekqne yeye tu wengine haoana, ni ngumu sana kufanyq kazi ya huyu jamaa.
 
Makonda anapenda kum out shine kila kiongozi kokote kule aendako, anataka aonekqne yeye tu wengine haoana, ni ngumu sana kufanyq kazi ya huyu jamaa.
No!... gambo ndio tatizo kubwa,haiwezekani wewe mbunge karibia kila kiongozi anaeteuliwa kwenye mkoa wako lazima utofautiane nae

Gambo hua ana unafiki unafiki Fulani usio na kichwa wala miguu

Gambo ana shida kila mtu hua anagombana nae
 
Back
Top Bottom