Ulevi na uzinzi vimemaliza vijana. Amkeni vijana mtakwisha

Ulevi na uzinzi vimemaliza vijana. Amkeni vijana mtakwisha

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!
Ninaposema vijana wazinzi na walevi mtakwisha simaanishi kuwa mtaiacha dunia na kutuacha sisi ambao hatufanyi uzinzi na hatulewi. La hasha, namaanisha nguvu kazi inapotea, vijana wanakufa wakiwa wabichi, heshima na utu wa vijana umeondoka katika jamii kwasababu ya pombe na uzinzi.
Kivipi ulevi na uzinzi vinapekekea vifo vya haraka( premature death)?
- Pombe na uzinzi hupelekea
1. Magomvi yasiyo na msingi
2. Ajali za uzembe
3. Kujeruhiwa na kuuwawa na vibaka, nilishuhudia mkaka mmoja wilayani kwetu alibakwa kwa mparange na wahuni mpaka kifo baada ya kumpiga search na kumkuta hana shekeli usiku wa manane.
4. Kupata HIV na magonjwa mengine ya ngono kirahisi due to careless
5.Msongo wa mawazo na magonjwa kama SUKARI , B.P .
6. Kurogwa na wazee kwasababu ya maneno machafu baada ya kupata kilevi.
7. Umaskini na ufukara . Maskini ni rahisi kufa kwasababu huishi mazingira magumu na kushindwa kumudu matibabu.
 
Wengi hawatakuelewa....

Ila kwa status ya unywaji pombe kwa vijana ilivyo sasa, baada ya miaka kadhaa mbele tutegemee vilio.

Wazee wa zamani walikuwa wanakunywa haswa na kazi walikuwa wanapiga haswaa na walikuwa na ukwasi wa maana...

Vijana wa sasa wanakunywa huku mifukoni pakavuuuu, mtu anakunywa kvant wakati chakula amekula ugali dagaa..

Zamani wazee wetu walikuwa wakienda vilabuni hawakosi kuangusha mbuzi kadhaa kwa ajili ya nyama choma.

Unforgettable
 
Habari!
Ninaposema vijana wazinzi na walevi mtakwisha simaanishi kuwa mtaiacha dunia na kutuacha sisi ambao hatufanyi uzinzi na hatulewi. La hasha, namaanisha nguvu kazi inapotea, vijana wanakufa wakiwa wabichi, heshima na utu wa vijana umeondoka katika jamii kwasababu ya pombe na uzinzi.
Kivipi ulevi na uzinzi vinapekekea vifo vya haraka( premature death)?
- Pombe na uzinzi hupelekea
1. Magomvi yasiyo na msingi
2. Ajali za uzembe
3. Kujeruhiwa na kuuwawa na vibaka, nilishuhudia mkaka mmoja wilayani kwetu alibakwa kwa mparange na wahuni mpaka kifo baada ya kumpiga search na kumkuta hana shekeli usiku wa manane.
4. Kupata HIV na magonjwa mengine ya ngono kirahisi due to careless
5.Msongo wa mawazo na magonjwa kama SUKARI , B.P .
6. Kurogwa na wazee kwasababu ya maneno machafu baada ya kupata kilevi.
7. Umaskini na ufukara . Maskini ni rahisi kufa kwasababu huishi mazingira magumu na kushindwa kumudu matibabu.
Acha nipate gahawa kwanza
IMG_20211127_131356_170.jpg
 
TRUE TRUE TRUE
mimi kama mimi kwa kweli ni muathirika wa ulevi niliumia hadi kupata matatizo ya uti wa mgongo,miezi mitatu kitandani bila kuinuka nilipiga chini na bodaboda nimeshindwa kuacha hadi nafikiria sijui nimerogwa hapa nilipo nipo kwa mama muuza saa saba hii usiku ningekua naamini kwenye ushirika ningeenda kwa mganga ningekua nakaa mjini ningeenda kwa washauri nasaha naingia kule Google nasachi namna ya kuacha pombe yan wale siwaelewi kabisa yan mtoa mada kiufupi umenipiga na kitu kizito kichwani 1;nimeua biashara zangu kabisa yani nimekua kuanza na moja kila siu2;mtaani dharau kama zote sema ndio hivyo nakua nna pesa mademu nang'oa 3;naihangaisha familia sana naiabisha sana,Wakuu MNIOMBEE
 
Kama pale Zambezi bar watu wanakesha mpaka Hasubuhi mixer madada poa kama woote
Jamani maisha haya
 
Back
Top Bottom