Ulevi ndiyo chanzo kikuu cha ndoa nyingi kuvunjika

Ulevi ndiyo chanzo kikuu cha ndoa nyingi kuvunjika

Joined
Jan 17, 2013
Posts
8
Reaction score
18
Habari Wana JamiiForums Kunaswala Naoana Kwasiku Hizi limekuwa Tatizo Kubwa Hususan Wana Ndoa Kwa Upande Wetu Wanaume baadhi yetu unywaji wa pombe ndiyo sababu yakuleta migogoro ndani ya ndoa nakusababisha mipasuko na kutotoelewana nakusababisha kubadilika kwa wenza wetu kutokana na tabia zetu sisi wanaumee

Basi tujitahid kupunguza au ikipendeza zaid nikujaribu kuiacha kabisa ili tujenge ndoa zetu
 
Habari Wana JamiiForums Kunaswala Naoana Kwasiku Hizi limekuwa Tatizo Kubwa Hususan Wana Ndoa Kwa Upande Wetu Wanaume baadhi yetu unywaji wa pombe ndiyo sababu yakuleta migogoro ndani ya ndoa nakusababisha mipasuko na kutotoelewana nakusababisha kubadilika kwa wenza wetu kutokana na tabia zetu sisi wanaumee

Basi tujitahid kupunguza au ikipendeza zaid nikujaribu kuiacha kabisa ili tujenge ndoa zetu
Ulevi uliopindukia upo enzi na enzi...
Tafuta sababu nyingine.
 
Habari Wana JamiiForums Kunaswala Naoana Kwasiku Hizi limekuwa Tatizo Kubwa Hususan Wana Ndoa Kwa Upande Wetu Wanaume baadhi yetu unywaji wa pombe ndiyo sababu yakuleta migogoro ndani ya ndoa nakusababisha mipasuko na kutotoelewana nakusababisha kubadilika kwa wenza wetu kutokana na tabia zetu sisi wanaumee

Basi tujitahid kupunguza au ikipendeza zaid nikujaribu kuiacha kabisa ili tujenge ndoa zetu
Bora walevi kuliko wanywa soda ndio wanaongoza kugawana majengo ya serikali wizara mbili
 
Jiulize kwann wanaume wengi baada ya KAZI ushinda zaidi bar kuliko kuwahi home ukioa utaelewa, wanawake wengine bila pombe huwezi ishi nao akiwa anapiga kelele bila pombe unaweza kufa ukilewa akipiga kelele zake unachukulia sawa na kelele za bar ukiamka alfajili unamwachia Kodi ya meza unasepa kwenye majukumu
 
Back
Top Bottom