The topnotch
Member
- Nov 14, 2018
- 6
- 4
Sehemu ya kwanza
Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2019, kipindi hicho niko chuo mkoa wa Mbeya katika harakati zangu za hapa na pale. Mimi nilikuwa ni mtu wa kwenda sana klabu kupata mbili tatu za hapa na pale, sasa siku moja nikaenda klabu moja maarufu sasa jijini Mbeya
Katika hapa na pale, si unaelewa tena ukishapiga vitu lazma akili ikutume uwe na mtoto mkali wa kwenda kupumika naye na mambo mengine yaendelee pakuche, sasa nikiwa hapo napiga vitu mishale kama ya saa nane hivi klub imebamba balaa akapita mrembo fulani hivi, ameshona balaa [emoji41] daah!
Nikasema na hili baridi simuachi, basi nikahama meza...............
Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2019, kipindi hicho niko chuo mkoa wa Mbeya katika harakati zangu za hapa na pale. Mimi nilikuwa ni mtu wa kwenda sana klabu kupata mbili tatu za hapa na pale, sasa siku moja nikaenda klabu moja maarufu sasa jijini Mbeya
Katika hapa na pale, si unaelewa tena ukishapiga vitu lazma akili ikutume uwe na mtoto mkali wa kwenda kupumika naye na mambo mengine yaendelee pakuche, sasa nikiwa hapo napiga vitu mishale kama ya saa nane hivi klub imebamba balaa akapita mrembo fulani hivi, ameshona balaa [emoji41] daah!
Nikasema na hili baridi simuachi, basi nikahama meza...............