Ulevi wa Kupindukia, Ubakaji na Ulawiti ni Janga Kubwa kwa sasa Mkoani Kilimanjaro

Ulevi wa Kupindukia, Ubakaji na Ulawiti ni Janga Kubwa kwa sasa Mkoani Kilimanjaro

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mkuu wa Wilaya ya Moshi James Khaji kasema anaomba Viongozi wa Dini wauombee Mkoa wa Kilimanjaro kutokana na sasa kukumbwa na Janga Kubwa la Wanaume kuwa Walevi wa Kupindukia, Kubaka na Kulawiti.

Chanzo: TBC1 Asubuhi ya Leo.

Mashemeji zangu Wachagga mmekumbwa na nini tena Siku hizi? Na nyie Siku hizi mnapenda Kutatua Watu Marinda? Nani kawafundisha Dhambi hii Tamu?
 
Inasikitisha sana mno itangazwe kua nijanga la taifa maana nguvu kazi inapotea na wazee ndio wamekua kinara cha wapumbavu mkoa huo pombe,ubabe,wizi na ngono zembe ni kitu inayo angamiza sana.
 
Mkuu wa Wilaya ya Moshi James Khaji kasema anaomba Viongozi wa Dini wauombee Mkoa wa Kilimanjaro kutokana na sasa kukumbwa na Janga Kubwa la Wanaume kuwa Walevi wa Kupindukia, Kubaka na Kulawiti.

Chanzo: TBC1 Asubuhi ya Leo.

Mashemeji zangu Wachagga mmekumbwa na nini tena Siku hizi? Na nyie Siku hizi mnapenda Kutatua Watu Marinda? Nani kawafundisha Dhambi hii Tamu?
Je na yule RC?
 
Mkuu wa Wilaya ya Moshi James Khaji kasema anaomba Viongozi wa Dini wauombee Mkoa wa Kilimanjaro kutokana na sasa kukumbwa na Janga Kubwa la Wanaume kuwa Walevi wa Kupindukia, Kubaka na Kulawiti.

Chanzo: TBC1 Asubuhi ya Leo.

Mashemeji zangu Wachagga mmekumbwa na nini tena Siku hizi? Na nyie Siku hizi mnapenda Kutatua Watu Marinda? Nani kawafundisha Dhambi hii Tamu?
Swala lakulawiti limekua janga kwa Taifa letu juzi tumewabana wanafunzi watatu ambao ni Drs la 6,3 na 4 wakiwa wanafanyiana huo mchezo baada ya kuwabana kila mmoja amesema kuwa amefundishwa na kaka ake kila ikifika usiku wakati wakulala lazima wafanye huo mchezo.
 
Swala lakulawiti limekua janga kwa Taifa letu juzi tumewabana wanafunzi watatu ambao ni Drs la 6,3 na 4 wakiwa wanafanyiana huo mchezo baada ya kuwabana kila mmoja amesema kuwa amefundishwa na kaka ake kila ikifika usiku wakati wakulala lazima wafanye huo mchezo.
balaa hili
 
Swala lakulawiti limekua janga kwa Taifa letu juzi tumewabana wanafunzi watatu ambao ni Drs la 6,3 na 4 wakiwa wanafanyiana huo mchezo baada ya kuwabana kila mmoja amesema kuwa amefundishwa na kaka ake kila ikifika usiku wakati wakulala lazima wafanye huo mchezo.
Aiseeee, inasikitisha Sana Tu, Vijana wa mkoa wa Kilimanjaro Aswa Wa Wilaya ya ROMBO, Vijana Ni Walevi kupita Maelezo, kule nguvu KAZI ya Vijana Akuna kabisa, Saa 11 Alfajiri Kijana keshalewa POMBE, Mungu Wanusuru Mashemeji Zangu Wa kichaga,
 
Moshi kizazi chenye maadili kimepita, nasikia hata uchawi miaka hii upo.
 
Back
Top Bottom