Ulianzaje kujichua(punyeto)?

Nyeto nadhani instimulate release zaidi ya hormonal testosterone
Hivo inapelekea upara
Haya tujikague wazee wa kunyetuka kichwani mnaonaje hapo kati?
 
uliwezaje wenzio mbona yanatushinda [emoji19]
Kwanza amini HAKUNA kinachoshindikana kabisa kwa Mungu.

Punyeto ilinitesa sana kwa miaka 8 tena nikiwa na mademu hata wawili.

Nilijitahidi sana kuacha punyeto na kukaa hata miezi mitatu bila kujichua lakini siku nilipokumbuka tu nilijikuta nimerudia na kupiga hata goli 6 kwa siku 1 tu.

HATUA ZA MSINGI.

[emoji736] Nilifunga siku 7 (wiki 1) nikisali Mungu aniepushe na balaa la punyeto.

[emoji736] Niliachana na mitandao ya Facebook, Instagram, Badoo, Tango na kutumia kwa nidhamu Goal.com, Google, YouTube, WhatsApp tena nikiblock Watu wasiokuwa na maana kwangu.

[emoji736] Niliacha kabisa kununua CD za X, kuangalia pornographies kupitia Laptop nikiwa ghetto.

[emoji736] Nilipokuwa free sikukaa kabisa pekeyangu ghetto na kujichanganya kwa Marafiki mitaani nikiamini nitaweza kuwa na mawazo ya kurudia kujichua.

[emoji736] Nilikuwa niko bize sana kimazoezi kuuchosha mwili ili nikiwa pekeyangu tu nisiweze kuwaza upumbavu zaidi ya kulala tu.

NB:

Yote hayo hapo juu [emoji115] nilikuwa nikifanya hata kwa miezi mitatu ila siku nikikumbuka tu ndipo najikuta nimerudia kujichua lakini nilipomwomba Mungu niliweza kuacha kabisa.

USHUHUDA:

[emoji3578] Miaka 10 sasa sijapiga tena punyeto.

[emoji3578] Niliacha miaka minne hata kabla sijaoa.

[emoji3578] Nilishawahi kukaa mwaka mzima bila ya Ke kimapenzi kabla sijaoa na sikujichua wala hata kuwa na wazo hilo.

[emoji3578] Baada ya kuoa kuna nyakati tofauti nilikuwa mbali na Mke kikazi lakini sikujichua kabisa.

[emoji3578] Bado naendelea kuelimisha Vijana namna ya kuacha punyeto na athari zake.

MUNGU NI USHINDI KWA KILA JAMBO.
 
Nyeto sio pepo acha ujinga wewe
SOMA UJUMBE NAMBA 186.

Usidhani kila mwenye pepo hujitambua.

Watu wanahangaika kuacha punyeto hadi walio kwenye ndoa lakini hawajafanikiwa kabisa.

Wengine wanafanya kabla ya kujamiiana ndipo wanaenda kujamiiana.

Wapo ambao kabla ya kufanya hutambua kabisa athari zake kiafya lakini hufanya kwa sababu si akili zao na wakishafanya tu hujilaumu sana kwa huo upumbavu.

ACHA UBISHI WA KIJINGA UELIMIKE.
 
Nyeto iingizwe kwenye mitahala Kwanza watoto wafundishwe wakiwa wadogo ,, SoMo la nyeto

1.Mention and explain Types of nyeto

2. Why do you think nyeto is more important than normal sex Explain with vivid examples
1) dry nyeto and wet nyeto.
Dry nyeto is when one is nyetukaring without the use of lubricant eg nyetukaring with a fly in a plastic bag.
Wet nyeto is wen there is a lubricant. Eg lotion revila soap or warm mlenda.

2) nyeto is important that normal sex because it is less expensive, easily available and saves time.
 
Goli sita kwa siku๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ
Wee yako ilikuwa chronic aisee. Kweli ulihitaji maombi maana wee mwenyewe ungeshindwa tuu.
 
Ukiona nyege zimepanda na unakaribia kumtafuta kwa gharama wa kumpeleka moto tia nyeto ukimaliza kumwaga utaona bora haukutumia pesa yako kuonga au kununua malaya
Kuna siku nampanga demu mmoja makadirio akikubali naenda tumia almost 40k


Mara nikapiga puchu nikamwaga nikaona Ni ufala ningeenda tumia pesa nyingi na puchu nime enjoy tu ikabd ninunue bando la mb nitulie ndani
 
Ni sawa na kusema kushabikia man Yu Ni pepo

Nyeto Ni hobies Kama vile swimming nk

Nyeto Ni salama
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Hii kitu nilijifunzia shule aisee washikaji walikuwa wakisimulia nikaenda kujaribu siku ya kwanza na sabuni nikashindwa siku ya pili nikashindwa siku ya tatu nikajaribu na mafuta na kwa kumlaa dada jirani yetu kwenye hisia nilifanikiwa aisee sio kwa msisimko ule siku ya kwanza nilikuwa nashinda bafuni tu nilipiga bao 4 hio siku mpaka leo ni mwana chama hsi toka 2014
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ