Kifaru86 JF-Expert Member Joined Apr 22, 2017 Posts 1,734 Reaction score 3,822 May 20, 2021 #1 Bila kupoteza muda kama kichwa cha habari kinavyosema ulianzaje kujipanga na maisha kabla ya kuingia kwenye ndoa ukiwa katika kipindi cha uchumba. Hebu tupeane mawazo wenzetu mliioowa mlianzaje kujiandaa na kujipanga kabla ya ndoa.
Bila kupoteza muda kama kichwa cha habari kinavyosema ulianzaje kujipanga na maisha kabla ya kuingia kwenye ndoa ukiwa katika kipindi cha uchumba. Hebu tupeane mawazo wenzetu mliioowa mlianzaje kujiandaa na kujipanga kabla ya ndoa.
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 May 20, 2021 #2 Wanandoa mnahitajika huku!
Hank_31 JF-Expert Member Joined Dec 26, 2013 Posts 862 Reaction score 2,148 May 20, 2021 #3 Duuuu!! Naona hizi nyuzi za kuoa zimekua nyingi sana, Naona mama kalegeza mitaani.
Rhz4567 JF-Expert Member Joined Mar 16, 2018 Posts 4,893 Reaction score 6,599 May 20, 2021 #4 Mabachela tunautolea macho huu uzi
Kifaru86 JF-Expert Member Joined Apr 22, 2017 Posts 1,734 Reaction score 3,822 May 21, 2021 Thread starter #5 Rhz4567 said: mabachela tunautolea macho huu uzi Click to expand... Hahahaaa
Kifaru86 JF-Expert Member Joined Apr 22, 2017 Posts 1,734 Reaction score 3,822 May 21, 2021 Thread starter #6 Rhz4567 said: Mabachela tunautolea macho huu uzi Click to expand... Naona wengi wamepotea