pamoja mkuu..Mungu wetu soteshukran sana mkuu,elimu muhimu sana hii skuwahi ipata🙏
Pesa inahitaji nidhamu sana!
Usiitumie kama hakuna ulazima!
Uwe na sababu ya kila senti inayotoka kwenye mfuko wako!
Kama wewe umeajiriwa hakikisha una hesabu kamili ya hela unayoitumia kwa siku
Kisha bundle za simu na mambo madogo madogo zitokee humo humo kwa mfano!
Mimi kwa siku nimesema ntatumia 5000
Asubuhi chai buku!
Mchana 2000 usiku 2000
Ila mara nyingi usiku huwa nanunua viazi 1000 (nakula siku2)
Nyanya za kachumbali na 500 na vizaga vya 500 hivi vitu natumia siku2
Ina maana mwisho wake ntabaki na 2000 ya usiku wa siku ya pili
Hizi ndio huwa natumia kununua bando, mayai, visoda soda au sabuni au dawa za meno nkiwa nauhitaji nazo!
Ila hesabu zangu ni 5000
Kupitia wewe tunajifunza kuwa...Pole pole ndio mwendo...Haba na haba hujaza kibaba...Great things take time.....Shukrani kwa kunipa hamasa asubuhi ya leo.Mimi ilikuwa tofauti kidogo..
Mimi nilipanga miaka kadhaa iliyopita nyuma, kitu Cha kwanza wakati naanza maisha nilinunua kapeti, mapazia na Tenga pa nguo chafu, baadae nikanunua subwoofer sea piano old model zile za mziki mnene wakati huo nalala chini kwenye kapeti nikiwa natandika blanketi chini. Baad ya mwezi nikavuta feni na kitanda niliona nilinunua godoro kwanza nitakuwa mvivu wa kununua kitanda kwa hiyo Bora ninunue kitanda ambacho kikikaa ndani kitanipa uchungu wa kununua godoro..
Baada ya mwaka nikajichanga changa nikavuta flat screen 32 inch, mwezi uliofuata nikanunua sofa , mwezi wa 3 nikanunua godoro 10 inch Sasa rasmi..nikajaa vyombo, Gesi nyingi mkubwa na plate ya majiko mawili..
Vyote hivyo ilinichukua miaka 2 na nusu na Sasa hivi Nimepanga vyumba viwili, na vyote nilinunua dukani vikiwa vipya kasoro bufa maana lile la mwanzo used, nilinilia pesa kinoma kila week linaharibika mwishowe kwa HASIRA nikaamua kuligawa tu.. Sasa ikija gheto kwangu Ni hatari hutamani kuchomoka yaani kiyoyozi tu ndo kinakosekana hapa[emoji16][emoji16][emoji16][emojiku
Hebu huko cc tuone lolMimi Sina nisiseme uongo[emoji23]
Haha big sana mwambaMimi ilikuwa tofauti kidogo..
Mimi nilipanga miaka kadhaa iliyopita nyuma, kitu Cha kwanza wakati naanza maisha nilinunua kapeti, mapazia na Tenga pa nguo chafu, baadae nikanunua subwoofer sea piano old model zile za mziki mnene wakati huo nalala chini kwenye kapeti nikiwa natandika blanketi chini. Baad ya mwezi nikavuta feni na kitanda niliona nilinunua godoro kwanza nitakuwa mvivu wa kununua kitanda kwa hiyo Bora ninunue kitanda ambacho kikikaa ndani kitanipa uchungu wa kununua godoro..
Baada ya mwaka nikajichanga changa nikavuta flat screen 32 inch, mwezi uliofuata nikanunua sofa , mwezi wa 3 nikanunua godoro 10 inch Sasa rasmi..nikajaa vyombo, Gesi nyingi mkubwa na plate ya majiko mawili..
Vyote hivyo ilinichukua miaka 2 na nusu na Sasa hivi Nimepanga vyumba viwili, na vyote nilinunua dukani vikiwa vipya kasoro bufa maana lile la mwanzo used, nilinilia pesa kinoma kila week linaharibika mwishowe kwa HASIRA nikaamua kuligawa tu.. Sasa ikija gheto kwangu Ni hatari hutamani kuchomoka yaani kiyoyozi tu ndo kinakosekana hapa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimekaelewa haka
Wacha wee,LIVE. LAUGH. FOCUSView attachment 1710337
[emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahEeh OP tafadhali, kwanini tusitoke? Ni hiyo bed lamp, TV show case au DT [emoji16][emoji16]
Mkuu..kuna siku ulilisimulia getto lako jinsi lilivyo tu..namimi kwa kupitia masimulizi yako nikalivutia picha (imagination)....I wish nipate nafasi ya kuliona getto la mwanafunzi wa chuo ambalo liko above standard.Nimekaelewa haka
Daaa kwali life sio poa mi nikijipiga kwa wiki nakuw na 60k nnje na mchezo wa buku mbilimbili kila siku.kwa umri huo apo mkuu.Nmeanza kukaa geto nna takribani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahivi nna balance ya 4M na kiwanja nmenunua 10M+ ilna sina mkopo sehem yoyote, na bado niko under 23, tuombeane wakuu
Weka hapa mkuu uki kipata?Kuna mtu alishawahi kurecommend nikisome, em ngoja nitafute pdf chap.
[emoji6]Maisha ya geto rahaaa sanaaaaView attachment 1710324
Kumbe humu wengi mnataka kuona gheto langu,? Bas kaeni chonjo picha zaja,.Mkuu..kuna siku ulilisimulia getto lako jinsi lilivyo tu..namimi kwa kupitia masimulizi yako nikalivutia picha (imagination)....I wish nipate nafasi ya kuliona getto la mwanafunzi wa chuo ambalo liko above standard.
Ni matumaini yangu kuwa ombi langu litazingatiwa.
wacha wee nipo hapa kusubiri kuona, ukishusha tyuuh, na mie ntaweka.Kaeni mkao wa kutulia..muda si mrefu nashusha gheto langu[emoji3]
Tunaona bwebwe mingi weka pichaKumbe humu wengi mnataka kuona gheto langu,? Bas kaeni chonjo picha zaja,.
Mi nataka kuona live..picha hazinogiKumbe humu wengi mnataka kuona gheto langu,? Bas kaeni chonjo picha zaja,.