Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Mkuu..5000 per day ndio bajeti yangu..ikizidi huwa naumia sana mzee...maana kipato kidogo kweli..lakini sikufichi mkuu, bila kuweka bajeti kama hizi huwezi kutoboa...ni changamoto sana kuishi kwa 5000 kwa siku hasa maeneo ya town ila ndoivo no way out...

Upande mwingine getto limeniponza wakuu..toka nianze kukaa getto kuna ndugu zangu wanahisi nimetoboa maisha kumbeeeee ninajua mm tu..hapa nishaingizwa kwenye kamati ya send off ya ndugu yangu mmoja...mchango ni kuanzia 50k kwenda juu..hapa ndonga inauma balaaa wakuu
[emoji16][emoji16] ndo heshima hyo mkuu... geto halijakuponza...limekuheshimisha

Sasa ulivyokua hom walikua wanakuona mtoto tu

Ww pambana wape hyo 50 yao...kuna kitabu nilisoma mwezi ulopita,kinaitwa "The secret" kina sema sheria ya kuingiza ni kutoa..simple

Ili utoboe lazma utoe..ukitoa maana yake unacho hivyo una attract pesa zaidi..ila sio kuhonga...

Hiki kitabu tangu nisome napata hela bila sababu za msingi...yani dah[emoji16]
 
[emoji16][emoji16] ndo heshima hyo mkuu... geto halijakuponza...limekuheshimisha

Sasa ulivyokua hom walikua wanakuona mtoto tu

Ww pambana wape hyo 50 yao...kuna kitabu nilisoma mwezi ulopita,kinaitwa "The secret" kina sema sheria ya kuingiza ni kutoa..simple

Ili utoboe lazma utoe..ukitoa maana yake unacho hivyo una attract pesa zaidi..ila sio kuhonga...

Hiki kitabu tangu nisome napata hela bila sababu za msingi...yani dah[emoji16]

Kuna mtu alishawahi kurecommend nikisome, em ngoja nitafute pdf chap.
 
Mkuu..5000 per day ndio bajeti yangu..ikizidi huwa naumia sana mzee...maana kipato kidogo kweli..lakini sikufichi mkuu, bila kuweka bajeti kama hizi huwezi kutoboa...ni changamoto sana kuishi kwa 5000 kwa siku hasa maeneo ya town ila ndoivo no way out...

Upande mwingine getto limeniponza wakuu..toka nianze kukaa getto kuna ndugu zangu wanahisi nimetoboa maisha kumbeeeee ninajua mm tu..hapa nishaingizwa kwenye kamati ya send off ya ndugu yangu mmoja...mchango ni kuanzia 50k kwenda juu..hapa ndonga inauma balaaa wakuu

Nikupongeze kwa kucheza na tano mambo mkuu
Sio wote tunaweza japo wapo wanaocheza chini hapo
Kuhusu kukupangia hayo ni majikumu mzee baba
Jamii inakupa vyeo vikubwa,ukikataa wataona muongo
Hata dk 30 hazijapita naingia wasp kuna x mstaarabu ameniomba aniweke kwenye group la harusi yake duh[emoji1316]
 
Mambo ya geto mzik mzur tu [emoji3]
20210222_151604.jpg
 
ELIMU KIDOGO KUHUSU CAPITAL FORMATION...Sorry kwa wasiopenda kusoma msg ndefu 👍

Nilipokuwa High school, moja ya somo nililosoma kwenye combination yangu ni ECONOMICS na ndani ya hili somo tulifundishwa capital formation.

Capital formation au kwa lugha isiyo rasmi ni KUKUSANYA MTAJI. Yes, ni kitendo cha kuweka akiba (saving) ya kidogo unachokipata ili kiweze kukufaa kesho. Watu wengi tunashindwa kuweka akiba kwa sababu nyingi, kuu hasa ni

1. Sio wavumilivu yaani tunataman tukuze akiba haraka kwa kusave hela kubwa, hatuamini katika kusave kidogo kidogo mara nyingi na kusubili muda mrefu (Binafsi ilinibidi nisubili miezi 8 kabla ya kupata hela ya kutosha kodi. Nilianza saving toka November mwaka jana hata kabla sijapata ajira, kodi nimeitimiza July...KUJINYIMA + UVUMILIVU.

2. Tunaamini tunapata hela kila siku so hatuna hofu ya kesho. Mfano kuna mtu ana uwezo wa kupata wastani wa 3000 kila siku,huyu muda mwingine hawezi iona thamani ya kuweka 1000 kwasababu anaona hata akiitumia sio mbaya maana na kesho anaipata..WRONG PERCEPTION...Tujitahidi kuwa na hofu ya Kesho.

NB: Saving nzuri ni ile ambayo ukisave hauipunguzi piga ua (naongea na watu ambao leo wataweka akiba kesho wanaipunguza kidogo afu keshokutwa wanaweka tena). Sasa, ili kuweza kusave bila kupunguza, fanya hivi:-

Mfano umebeti ukapata 20, 000, usiweke akiba 15000 maana lazima utaitoa tu. Chakufanya weka akiba kiasi kidogo labda 5000, then baki na 15000 ambayo itakulinda hadi upate zali jingine. Kwasisi ambao hatuna kipato cha uhakika cha kupata kila siku, tujaribu kuweka angalau 30% ya hela tunayopata ili 70% itulinde. ila kama una uhakika wa kupata 10000 kila siku, weka akiba hata 60% daily...na ile inayobaki kulinda mfuko uitumie kibahili/kwa utaratibu..Ukifanya hivi, saving itakaa..

Kama binadamu, tuna challenge nying zinazoharibu akiba zetu, ila chagua challenge za kukufanya ukachukue akiba yako.sio kila tatizo unawahi kuchukua kwenye kibubu..Usikae na akiba ndani au kwenye simu, iweke benki (kwasisi waweka akiba NMB CHAPCHAP A/C ndio mkombozi wetu, haina makato).

SITAKI kuandika sana, mwanangu mkuu Saint hapendi sana kusoma 😁 (joke)...la mwisho, kuna matumizi ya kila siku sio muhimu..usipokaa sawa unaweza unga 3000 mara mbili kwa wiki (6000 hapa huwezi toboa). Sawa, lazima tukae online maana ndo kuna matangazo ya ajira ila mitandao ming inakula bundle mfno insta au whatsapp status....JF iko fair sana kwenye bundle so 90% ya updates za ajira unazozipata kwenye mitandao mingine zinapatikana JUKWAA LA AJIRA NA TENDA hapa JF..Ukiwa unapitia huko bundle litakaa na utasave hiyo 3000..Kama bundle linakumalizia pesa aisee fanya hivyo nilivyoshauri ila tu uwe hewani kwa normal calls 24/7.....MAY GOD BLESS OUR HUSTLES.

FOHADI: Focus Hadwork Discpline
shukran sana mkuu,elimu muhimu sana hii skuwahi ipata🙏
 
Back
Top Bottom