😂😂[emoji3] ufanye na press kabisa
safi kaka
Hebu andika vizuri bas na wee, sasa nikiwa nanogesha uzi na kutoa motivation vibaya? [emoji3][emoji3][emoji3]Tunaona bwebwe mingi weka picha
Karibu sanaah.Mi nataka kuona live..picha hazinogi
Nataka kuona kitu k1 iv, ili na mie ni note.[emoji23][emoji23]
Msisahau note book kuandika vitu mihimu mtakavyoona kwenye gheto langu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Verified[emoji457]...Napata Tabu Sana KuwatoaMwanangu hapa hawatoki [emoji119]
Sawa kuwa na subraNataka kuona kitu k1 iv, ili na mie ni note.
Kabisaa.Sawa kuwa na subra
hahahhahhahahahah mkuu...nimelielewa getto lako...hebu ngoja nikuulize maswali kadhaa..Verified[emoji457]...Napata Tabu Sana Kuwatoa
simply the BESTView attachment 1710683
You're all welcome
Tutafute helasimply the BEST
Kulikuta geto la mwanachuo ...ambalo lipo standard ni kaz sana [emoji23][emoji23] mwenyew ingawa nimeanza chuo ...mwaka huu but ....cjafikia hyo levelMkuu..kuna siku ulilisimulia getto lako jinsi lilivyo tu..namimi kwa kupitia masimulizi yako nikalivutia picha (imagination)....I wish nipate nafasi ya kuliona getto la mwanafunzi wa chuo ambalo liko above standard.
Ni matumaini yangu kuwa ombi langu litazingatiwa.
Mkuu getto la cocastic lina kila kitu..liko standard according to yeye..ndomana hapa mimi nataka nimtembelee nijifunze mengi kutoka kwake...Kulikuta geto la mwanachuo ...ambalo lipo standard ni kaz sana [emoji23][emoji23] mwenyew ingawa nimeanza chuo ...mwaka huu but ....cjafikia hyo level
Weka hapa mkuu uki kipata?
Verified[emoji457]...Napata Tabu Sana Kuwatoa
Iyo ni single rum, priority yangu ilikua ni kulipa kodi ndogo ili niweze kusave hela ya kujaza vitu ndani kwanza, so kodi nalipa 50khahahhahhahahahah mkuu...nimelielewa getto lako...hebu ngoja nikuulize maswali kadhaa..
1. Imekuchukua mda gani kulifanya liwe hivyo?
2. Limekucost kama shingapi jumla ya assets zake...nataka nijifunze kitu kama hutojali.