Ulianzaje kukaa gheto?

wakuu mimi nimemaliza chuo mwaka juzi (2019), kwa sasa nina miaka 29 nipo home bado, nimeangaika kutafuta kazi sijapata, nimesoma huu uzi nimeisi kama nimesha potea kwenye maisha, naombeni mbinu na mimi nichomoke hapa home nikapange wakuu??
Tema mate chini mwana, umepoteaje kimaisha? Watu tumekuzidi umri na still tupo hm, kuna mzee kafia kwny nyumba ya urithi ya marehemu baba yake wakati huo na yeye alishajenga nyumba km5 hv...point yangu ni nn? Simaanishi ujibweteke kutoka hapo ulipo ila usikate tamaa ofcoz kpnd kizuri zaidi kujijenga ni ukiwa kwenu maana unakua huna majukumu mengi.... We dunduliza tu mdg mdg utachomoka mwana

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Wewe kweli ni mpambanaji,story yako kuna kitu nimejifunza
 
shukran mkuu wa kunipa moyo mzee, hali ngumu sana mtaani kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…