Leo nimekumbuka mbali sana, kweli binadamu tumetoka mbali,, tbt four year ago sina hili wala lileView attachment 1727519
Unanua kwa wakala gani,je kulipia unalilia wapiCanal+ Decoder.
Bei 22,000/= ila kinakuja ba kifurushi Cha mwenzi. 43,000/=
Jumla Ni 65,000/=
Hapo unaangalia mpira ligi kubwa zote ulimwenguni.
Nilisahau kutumia DSTv kitambo.
Leo nimekumbuka mbali sana, kweli binadamu tumetoka mbali,, tbt four year ago sina hili wala lileView attachment 1727519
Duuuh mwanzo mgumu, nilianza hata hiili lina afadhaliVijana vijanaView attachment 1712339
Hii ni inspirational kwa vijana kabisaa!Leo nimekumbuka mbali sana, kweli binadamu tumetoka mbali,, tbt four year ago sina hili wala lileView attachment 1727519
ukiweza weka picha ya before na after..itakuwa complete inspiration.Duuuh mwanzo mgumu, nilianza hata hiili lina afadhali
Mkuu kipindi icho smart phone naziona kwa watu tu, tuzidishe hasira za kupambana tutafikia malengoukiweza weka picha ya before na after..itakuwa complete inspiration.
Hiiii ndo ile tunaita ......... Developed countries [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji28][emoji28]
[emoji123][emoji123]Hiiii ndo ile tunaita ......... Developed countries [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji28][emoji28]
Bag tu nilikua na kaspika kakuzugiaMzee baba ile n speaker au begi[emoji23][emoji23]
Sasa hivi nikionesha wataconect dots japokua sijajenga bdo ila niko kwenye sehem nzuri zaidiTuonyeshe sahv
Canal+ Decoder.
Bei 22,000/= ila kinakuja ba kifurushi Cha mwenzi. 43,000/=
Jumla Ni 65,000/=
Hapo unaangalia mpira ligi kubwa zote ulimwenguni.
Nilisahau kutumia DSTv kitambo.
Wewe tulia usichangia kitu, subiri mpaka umalize chuo ndio utoe huu ushauri wako, you are still in apprenticeship.Ulikosea sana kurudi nyumbani.
Mimi bado nipo chuoni Mwaka wa mwisho ila ninaishi getto, nitanunua kila kitu kadri ya uwezo, ili nikimaliza chuo nisirudi home.
Kumbe ulishamaliza chuo, haya sasa njoo utupe mrejesho [emoji856][emoji856]Ulikosea sana kurudi nyumbani.
Mimi bado nipo chuoni Mwaka wa mwisho ila ninaishi getto, nitanunua kila kitu kadri ya uwezo, ili nikimaliza chuo nisirudi home.
Dadeq.....[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wewe tulia usichangia kitu, subiri mpaka umalize chuo ndio utoe huu ushauri wako, you are still in apprenticeship.
Ngoja wazoefu waje [emoji23][emoji23]
Bag tu nilikua na kaspika kakuzugia
Hivi WiFi vipi kuhusu malipo yake?Iyo ni single rum, priority yangu ilikua ni kulipa kodi ndogo ili niweze kusave hela ya kujaza vitu ndani kwanza, so kodi nalipa 50k
Nimetumia mwaka mmoja kujaza vitu ndani...kwa chapchap gharama zote ni kama 1.5M japo nilikua naweka kitu kimoja kimoja mpaka kufikia hapo
Personally napenda kuishi maisha mazuri, kwahiyo huwa najibana sana, yani sana...Apa nipo kwenye mchakato wa kufunga WI-FI ili mda wote niwe nastream NETFLIX na YOUTUBE....Sipendi kutumia ving'amuzi na kwa kifupi i am not a fan of local content
Ni hayo tu mkuu
Ulikuwa na hiliLeo nimekumbuka mbali sana, kweli binadamu tumetoka mbali,, tbt four year ago sina hili wala lileView attachment 1727519