Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
sometime ile kitu ni ajali mkuu genye hazinaga comandoAhsante kwa alert mkuu, ntakua makini
Ila naamini hamnaga masikhara kwenye kulana ni maamuzi tu [emoji2957]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sometime ile kitu ni ajali mkuu genye hazinaga comandoAhsante kwa alert mkuu, ntakua makini
Ila naamini hamnaga masikhara kwenye kulana ni maamuzi tu [emoji2957]
Hakikaa mkuu .....kazi iendeleehatimae na mm nimenunua godoro process znaendelea now natafuta rum ntakuja post wadau....
Acha uongoMwaka wa 2 huu kukaa ghetto, nashukuru Mungu maisha yanaenda na sina mpango wa kurudisha mpira kwa kipa[emoji3] tuendelee kupambana wakuu
TEMEKE GANI MADAMKaribu sana mkuu naishi Temeke, ntafurahii
Naona godoro chini ya kitanda. Kuna mtu analala uvunguni? [emoji848]5 star room.View attachment 1753997
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona godoro chini ya kitanda. Kuna mtu analala uvunguni? [emoji848]
Hapo safi.Wewe kama mimi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nomaa [emoji3][emoji3] maisha ya ghetto raha sana ila ukiishiwa hela na mwenye nyumba anakudai utajuta[emoji14]
Tafuta sponsor acha kujinyanyasa we mnyaki[emoji1787]Hilo neno hapo mkuu[emoji3516][emoji3][emoji3] anyways mimi naishi ghetto tena la chumba kimoja and am ok kabisa[emoji3]
😀😀 malipo ya sponsor ni kupelekeshwa na kuwa mtumwa wake sitaki mimi ,hata sponsor mwenyewe alianzia chini hivi hivi, acha niendelee kua sponsor of my own life na ni raha acha tu,single room yangu naona assets zangu zote hata nikiwa nimelala😀😀Tafuta sponsor acha kujinyanyasa we mnyaki[emoji1787]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Unafanyaje hii ifanye kazi kwa umeme wa ac huu wa majumbani?View attachment 1771167
Inakitaaa apo chini balaa
Akikujibu nitagUnafanyaje hii ifanye kazi kwa umeme wa ac huu wa majumbani?
Tuendelee kumsubiriAkikujibu nitag
Unafanyaje hii ifanye kazi kwa umeme wa ac huu wa majumbani?
Hapana hapo haitumiki kama unavyodhani mkuu
Hiyo ni box na speaker tu
Kuna machine pembeni
Ila! Ukitaka kuitumia kama inavyouzwa dukani itabidi utafute high currents transformer ndio uwashie
Unajua kwanini?
Umeme wa nyumbn una volts 220 lakini currents ni kama 30 hivi
Ila umeme wa kwenye magari una 12voltage ila currents sasa kindoo
Ndio maana hizi kwenye magari zinakita sana sababu ma currents yapo mengi
Kwahyo ili uitumie nyumbn lazima uwe na transformers hiyo
Ukiweka vi transformers vya subwyhivi huwez kupata unachotaka japo itaimba!