Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Tafuta sponsor acha kujinyanyasa we mnyaki[emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
😀😀 malipo ya sponsor ni kupelekeshwa na kuwa mtumwa wake sitaki mimi ,hata sponsor mwenyewe alianzia chini hivi hivi, acha niendelee kua sponsor of my own life na ni raha acha tu,single room yangu naona assets zangu zote hata nikiwa nimelala😀😀
 
IMG_2865.jpg

Inakitaaa apo chini balaa
 
Unafanyaje hii ifanye kazi kwa umeme wa ac huu wa majumbani?

Hapana hapo haitumiki kama unavyodhani mkuu
Hiyo ni box na speaker tu
Kuna machine pembeni
Ila! Ukitaka kuitumia kama inavyouzwa dukani itabidi utafute high currents transformer ndio uwashie
Unajua kwanini?
Umeme wa nyumbn una volts 220 lakini currents ni kama 30 hivi
Ila umeme wa kwenye magari una 12voltage ila currents sasa kindoo
Ndio maana hizi kwenye magari zinakita sana sababu ma currents yapo mengi
Kwahyo ili uitumie nyumbn lazima uwe na transformers hiyo
Ukiweka vi transformers vya subwoofer huwez kupata unachotaka japo itaimba!
 
Hapana hapo haitumiki kama unavyodhani mkuu
Hiyo ni box na speaker tu
Kuna machine pembeni
Ila! Ukitaka kuitumia kama inavyouzwa dukani itabidi utafute high currents transformer ndio uwashie
Unajua kwanini?
Umeme wa nyumbn una volts 220 lakini currents ni kama 30 hivi
Ila umeme wa kwenye magari una 12voltage ila currents sasa kindoo
Ndio maana hizi kwenye magari zinakita sana sababu ma currents yapo mengi
Kwahyo ili uitumie nyumbn lazima uwe na transformers hiyo
Ukiweka vi transformers vya subwyhivi huwez kupata unachotaka japo itaimba!

@Kanungila Karim
 
Back
Top Bottom