Ulianzaje kukaa gheto?

Dada nakukubali sana huwa unakuwa open Sana. Salute bidada!
 
Miaka Ile AHM akiwa kashika usukani nilihama kutoka kwa mzee nikahamia kwangu. Nilikua na kitanda, godoro, shuka mbili, neti, jiko la mchina, sufuria tatu, ndoo mbili moja kuogea, moja maji ya kunywa, kabati sahani kijiko na kikombe.
Nyumba za kiswahili korido Kati chumba tatu kulia tatu kushoto. Mbele Baraza uani vyoo bafu jiko.
Nimehamia tu sijakaa sawa binti wa mwenye nyumba kanifuata bombani nikichukua maji nikaoge na kuniambia
KAKA USIFUNGE MLANGO USIKU NITAKUJA . Aroo sijatongoza hata jina sijamuuliza.
Kweli bwana kwenye saa sita nasikia mlango unasukumba na mtu huyu ndani ya neti Tena amenyoa.....
 
Alooh....[emoji1787][emoji1787]
 
Aisee .kwaiyo ukajil8a ka utani
 

Weekend nakuja kukutembelea[emoji16]
 
Let me ask for my friend,

Kwao wana nyumba ya urithi na wazazi hawapo na inahitaji marekebisho mengi na watoto wapo zaidi ya mmoja ila wanaokaa hapo ni wawili tu yeye na sister ake.

Je ni bora akapange gheto au arekebishe nyumba yao akae hapo hapo ? Na kufanya marekebisho makubwa huku amepanga ni changamoto maana kwenye kupanga ataanza upya vitu vingi.

Faida ya kukaa hapo kwao ni gharama hazitakuwa kubwa za kodi kila mwaka, lakini hasara hana uhuru as wanafamilia wanaweza kuja saa yoyote.

Mna mshauri nini mtu wa aina hii wadau wa maghetoni[emoji1320][emoji1320]?
 
Apange kama kawa watarekebisha hao wanaopajazaga

Ni Sister ake huyo mmoja ambaye ana makazi ya kudumu hapo kwao, amemaliza chuo, na si unajua watoto wa kike kuondoka home kabla ya kuolewa ni changamoto. Hao wengine ni wale wa mara moja moja wanaibuka, mara moja kwa wiki mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…