Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
ni OG ile laana.Oyaa wanna ..magetoni ndio mipango acheni kukaa kaa om aise ..piga mishe yeyote, beba hata ma.vi, zibua mitaro, okota makopo uza ila usikae home aise ..ni kwere kinyama
Ila msifanye haraka kutoka home kama hujakaa vizuri kisa pressure za watu wa nje. Nakumbuka nilivyorudi kutoka mihangaikoni kwasababu ya ugeni nilifikia home. Walinzi na watu wengine wakaanza maneno sasa hivi nawapelekea magari waoshe!
Ni kweli bablai lakini kama una maakili ya kuwaza fasta na unaona om hakusomeki aise ni bora utembee tu ukapange hata geto la 30k kwa mwezi yapo mengi tu kama om panasomeka kuna mamiradi ya familia unaeza chill kimtindo ..lakini kama kijana ana mika kuanzia 27 kuendelea akikaa om aise namuona boya sana aise ..japo siyo ujanja kusepa om ila ni muhimu kuwazia kuhusu miaka tano mbele apo.Ila msifanye haraka kutoka home kama hujakaa vizuri kisa pressure za watu wa nje. Nakumbuka nilivyorudi kutoka mihangaikoni kwasababu ya ugeni nilifikia home. Walinzi na watu wengine wakaanza maneno sasa hivi nawapelekea magari waoshe!
Kiukweli bila kuwa na kipato chochote maisha ya ghetto mmh! Utakula nini, bills je? Lazima kupambanats a normal thing mdada kuish geto akiwa na kazi yake either kazi binafsi or awe kaajiriwa somewhere.......
Ishu n kwa hawa ndugu ambao mda wote wako around..... Hapo kinachonijia kwa ubongo wangu n wadangaji an bila chenga, na n uhalisia.
Hapo gheto panasemaje?Kiukweli bila kuwa na kipato chochote maisha ya ghetto mmh! Utakula nini, bills je? Lazima kupambana
Pole ban ya 2 months? Uliwafawanya nini mods😂 tatizo pia wewe ni kakorofi sana. Happy you're back na utulie sasa😂Uuuuuh cc kipendhii [emoji7][emoji7][emoji7]nmekumic had naumwa, nlkua buzzy na field, ila nlipewa Ban ya 2months, yaan we acha tyuuh lol
Ghetto fresh tu! Tupo tunacheki movies kidogo after a looong day mihangaikoniHapo gheto panasemaje?
Yeaaaah kupambana muhimu cc kipendhiiiih.Kiukweli bila kuwa na kipato chochote maisha ya ghetto mmh! Utakula nini, bills je? Lazima kupambana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] af sijajua ban ya nn, sijapewa nitify, kwa kweli now time niwe mpolee tyuuh, nimekomaah.Pole ban ya 2 months? Uliwafawanya nini mods[emoji23] tatizo pia wewe ni kakorofi sana. Happy you're back na utulie sasa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah wapi wee siwezi yaan, lazima nitadusua tyuuh tena uwiiiiih.Aiseee chunga mdomo wako[emoji16]
Hapo ndo akili inakaa sawa sasa...mkuuMimi kimasihara tu,baada ya ku graduate tu nikapata kibarua SBC TANZANIA LTD tawi la Mbeya na kupanga gheto,day shift 6,750 night shift 8,600 na shift ni siku tatu tatu then unakaa jobless siku 3 kusubiri mzunguko wako,awamu ya kwanza nikaanza day shift 6,750 x 3 = 20,250. Hapo hujala,nauli ya daladala,bill ya maji,umeme na pango la nyumba na una gharama za application kusafiria interview maeneo mbalimbali mpaka nje ya mkoa pia.
Nilitamani kurudi kwa mshua bila kupenda,nilijikuta nakuwa baili mchaga na mkinga wakasome. Maisha ya gheto watoto wa mama usithubu unaweza uwe chizi wa mwili japo ubongo wako ume hold shahada ya jambo fulani.
Thats all...Kiukweli bila kuwa na kipato chochote maisha ya ghetto mmh! Utakula nini, bills je? Lazima kupambana
Nakubali mwamba ghetto liko POA tuendeleee kupambania kombeView attachment 1946872
Cc [mention]Walec [/mention]
Pambana mzeee, lazima maisha yasonge mbeleNapambana na mie nihamie gheto lenye rangi jamani. Kikubwa gheto liwe na mziki na kitv cha kiselaView attachment 1947454
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Uhakika Sana, unapiga msosi mpaka unapumzika then unarudi Tena kumaliziaUkiwa geto unajikadiria tuView attachment 1948862
Kwa bei nafuuUhakika Sana, unapiga msosi mpaka unapumzika then unarudi Tena kumalizia
Magomeni mapipa hapo mikumi Kwa wapemba na waarabuWakuu magomeni sehemu gani pana utulivu wa kuishi Bila wasiwasi wa vibaka na wadokozi mtaani??