Oyaaa mzee panga at your own risk. Kama unampango wa kubaki hapo hapo baada ya kumaliza college unaweza kupanga. Ila utarudi home usipange. Coz ghetto linakula hela hasa mwanzoni. Ni Bora ukomae na kitabu then ndo upange. Tulio wengi vyuoni tulipanga kwa ajiri ya kula mademu. Ukiwa hostel inakulazimu uende guest (lkn ukiwa hostel kitabu kinapanda Sana coz hakuna starehe sana, Ni msuli tu)Wakuu mm nataka panga geto ila kwa boom la diploma pale dit first year.Nawasilisha kwenu kama inawezekana coz sitalajii kufanya kazi yoyote nategemea boom pekee.Sitarajii kufanya biashara sababu nachukua course ngumu kiasi
Freezer inategemea na maeneo mkuu mfano. Mm Niko njombe yaani maji yabaridi unakunywa mpaka meno yanauma na hayajawekwa kwenye freezer.Naomba mnisaidie umuhimu wa freezer geto.... Kwa mtu ambae Hana kitanda Ila godoro pekee
Ni kitu tu muhimu Sana, angalia vya lazima tu. Shida Ni kua tunajilinganisha na wengine. Angalia kipato chako then nunua vitu vya muhimu. ili uendelee kua na bajeti nzuriNimejifunza kitu hapa.
Daaaahh mwana why!????? Naweza kuuliza hivyo coz umerudisha Mpira kwa kipa. But hujafeli, jipange Tena mkuu, then uhame. Usifanye haraka weka ratiba nzuri na bajeti ya kutosha ili usianze na ugumu Sana. Itakufanya u-survive hata Mambo yakiyumbaMwaka wa korona, nilidhamilia kuhama skan baada ya kuanza kujishughulisha na Michongo ya kuuza nafaka za chakula, nilimfata mother nkamtel,,,,, daaaah,,, ilikua kipengele aisee,,, yaan alikubal kwa shingo upande na baada ya kusepa tyuu Mazaa aliangua kilio[emoji26].
Baada ya korona kupungua na kutangazwa kuwa wa kusoma warudi makambini mwao, nkamwachia jamaa angu geto, baada ya miez kadhaa ya Likizo ckumkuta mshkaji coz alikua kasafir na muda wa kodi ndo unaisha, ikanibidi nisalim amri kwa kurudisha majeshi nyuma[emoji4][emoji4].
Ile natua skani na vitu vyangu, nliwakuta Maza na Fath, daaah Mazaa alicheka balaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],,, akanitolea na mfano wa kwenye Bible (Mwana mpotevu). Surely ckupenda kurud lkn ilinibidi tyuuu.......!!!!!!
Hapa napanga mipango ya kuset ka_double room house kanguuuuu...[emoji123][emoji123][emoji123]
Daahh Safi Sana mkuu, pesa inahitaji nidhamu aisee I appreciate your struggles. Nimekubali mkuu, kwasababu umeanzia chini kabisa yaan from the grass level. Kutoka kulalia mkeka mpka ghetto kukaa sio kitoto. Hii ndo real motivation.View attachment 2085090
Kila kitu ni hatua....
Pesaa inahitaji nidhamu sana
Itunze...ununue vitu vyako mwenyewe
Kuna siku sote humu tutakua tunasehemu yakupaita nyumbani
Daahh Safi Sana mkuu, pesa inahitaji nidhamu aisee I appreciate your struggles. Nimekubali mkuu, kwasababu umeanzia chini kabisa yaan from the grass level. Kutoka kulalia mkeka mpka ghetto kukaa sio kitoto. Hii ndo real motivation.
Nimrkuheshimu Sana coz mm nilianza na kitanda, godoro, sabufa, vyombo, jiko la gesi na laptop. Ko haikua mbaya Sana. Saiv Niko na chumba na sebule nimeongeza tv na sofa. Ingawa nawekeza kwenye miradi.
Umeandika jambo la muhimu sana mkuu.vijana tubadilike. kukaa gheto isiwe kgezo cha kuendekeza mapenz mda wote. bado tuna mengi ya kufanya mfano, kutafta pesa tujenge nyumba zetu, kutathmin mustakabali wa bidhaa kupanda bei kila sku, etc
vijana tubadilike. kukaa gheto isiwe kgezo cha kuendekeza mapenz mda wote. bado tuna mengi ya kufanya mfano, kutafta pesa tujenge nyumba zetu, kutathmin mustakabali wa bidhaa kupanda bei kila sku, etc
hahaha unajua nini ,wengi wananunua hivyo vitu ulivyovitaja ili akiingiza demu amsfiie na iwe rahisi kuliwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Cha pili ukiwa unaishi geto epuka kumiliki vitu visivyo vya lazima kama makabati masofa sio vitu ambavyo vinafaa Sana kumiliki Kama unaishi chumba kimoja Tena ukiwa unandoto za kujenga nunua vitu vichache tu tena vya muhimu sio unakua na geto Kama dsico mzuki mnene mpaka mwenye nyumba akuchukie
Mimi nimeingia kwenye hii trap wakuuNamshauri godoro anunue 5*6. Ni kubwa linatosha kulala watu 2. Vzr. Then hutanunua Tena. Ila 4*6 itakumfanya baadae ununue lingine maana ataona Ni dogo kwa baadae. Kama unaweza vitu vya ghetto nunua Mara moja usirudie rudie. Mfano. Kma tv chukua kubwa maybe 32 inch, yaan baada ya hapo hutawaza kununua tv nyingine. Kitanda nunua kikubwa hutawaza kununua kingine. Hivyo vitu vilinicost sana. Ilinibiti nianze kununua vikubwa Tena.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Dogo kaa hostel pale kula kule messini kuna msosi misafi sana achana na mambo ya getoWakuu mm nataka panga geto ila kwa boom la diploma pale dit first year.Nawasilisha kwenu kama inawezekana coz sitalajii kufanya kazi yoyote nategemea boom pekee.Sitarajii kufanya biashara sababu nachukua course ngumu kiasi
Kwa hiyo mkuu nisikae geto kisa msosi?Dogo kaa hostel pale kula kule messini kuna msosi misafi sana achana na mambo ya geto
Daaah DIT enzi zetu kilikuwa kuna misosi mikali mikali chai za maziwa ,mayai,mikate bluebanda ugaki laini saafi nyama kubwa kubwa ,kabeji wali ndizi mbivu na karanga noma sana
Kulikuwa mashine inatoa maji messini pale
Bila coupon hupati msosi[emoji2]
Wikiendi nikiwa free nachemsha maharage kilo mbili ,nyama kilo 3/4 hivi kuna visado naweka humo hayo makitu yanakaa kwenye freezerSawa[emoji2]
Hahahahaj hapo hama fasta[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]jau tu mzee me nkiwa naingizaga toto langu kulimega unakuta wao macho kodo maana wanawake wengi ni mama wa nyumbani.
Hilo kama geto la magwairView attachment 2085090
Kila kitu ni hatua....
Pesaa inahitaji nidhamu sana
Itunze...ununue vitu vyako mwenyewe
Kuna siku sote humu tutakua tunasehemu yakupaita nyumbani
Wewe unataka kukaa geto kisa mademu sio!?Kwa hiyo mkuu nisikae geto kisa msosi?