fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyo aje ashuhudie kwa macho yake, maana mie nikimtajia hataamini.
Yeye afanye aje ghetto ahakiki atakacho kufahamu. Uwiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah ko nyuzi ndo jinsia za watu hapa JF?Watu tunakujua, kupitia nyuzi zako...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti nakosea mwaya? Hahahah[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti nakosea mwaya? Hahahah
Godoro la sufi[emoji2]Wakuu niaje hivi ni godoro gani kali la nchi kumi nataka nikinunua niwe nimemalizana nalo sio baada miaka 2 nibadilishe naomba nisaidie godoro gani zuri linalodumu la nchi 10
Sent using Jamii Forums mobile app
QFL DODOMA au Tanfoam Arusha.Wakuu niaje hivi ni godoro gani kali la nchi kumi nataka nikinunua niwe nimemalizana nalo sio baada miaka 2 nibadilishe naomba nisaidie godoro gani zuri linalodumu la nchi 10
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Qfl bei gan na tanfoam pia inasimamaje mkuuQFL DODOMA au Tanfoam Arusha.
😁😁😁Ei gan hiloGodoro la sufi[emoji2]
Bei4×6 Ni 270,000 mkuu , hii ni Tanfoam. Kwahiyo bei inapanda kulingana na ukubwa wa godoro.Qfl bei gan na tanfoam pia inasimamaje mkuu
Aaah sawa mkuu ngja nijiongeze iLi mamBo Yawe poa niongeze 20 nataka nikachukue hy tanfoam tUBei4×6 Ni 270,000 mkuu , hii ni Tanfoam. Kwahiyo bei inapanda kulingana na ukubwa wa godoro.
Safi sana Mungu akutie nguvu na ufanikiwe hitaji lako. Ila Tanfoam ni mkataba kaka.Aaah sawa mkuu ngja nijiongeze iLi mamBo Yawe poa niongeze 20 nataka nikachukue hy tanfoam tU
Inshaallah ndugu yngu mungu atajaaliaSafi sana Mungu akutie nguvu na ufanikiwe hitaji lako. Ila Tanfoam ni mkataba kaka.
Hongera sana komaa mdogo mdogo utafanikiwaStep no 1. Mengine yajaView attachment 2170849
Pamoja sanaInshaallah ndugu yngu mungu atajaalia
Kwa kweli kulala bila net siwezi. Nikiskia mbu mmoja basi naishiwa usingizi kabisaaNeti za nini ghetto?
Au ndio malaria inaua