Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Maisha ya geto, ugali mkubwaa dagaa wa kuhesabu.. aisee dagaa wana save sana budget , pale unapokuwa umefuria...
IMG_20220507_160453.jpg
 
Yes mkuu na sio kunimis tu ata nikienda home kuna ile treatment unapewa ya heshima yan daaaah imenifanya ata nikienda hom siend kinyonge kabisa nakuwa na ata 20k kwaajil ya bi mkubwa [emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji3][emoji3] saiz unapokelewa na matunda juu
 
Maisha ya geto, ugali mkubwaa dagaa wa kuhesabu.. aisee dagaa wana save sana budget , pale unapokuwa umefuria... View attachment 2215300
Mimi kuna mmama uwa nanunua kwake ananichambulia kisado kizima wapo geto mda wote, ukijisika unaanga, unalost au unawapika wa mchuzi pembeni mboga za majani, dagaa ni mboga ya fasta
 
Back
Top Bottom