Tumia pesa ikuzoee boss [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]mie nikiwaga na hela naogopa hata kutumia,maana nikiishiwa tu mambo yanajitokeza,
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaah kwa hii hela mim na panga na mtaji juuMbona mambo ni rahisi?
Kitanda na godoro '400+
Vyombo vya kuanzia + kapeti havimalizi 200K
Kodi '300 .. 50×6
Mengine utakuwa unaendelea mdo mdo
Subiri kina cocastic na kundi lake waje kuponda pishi hilo[emoji16][emoji16][emoji16],Kwa mimi dagaa ndo mboga yangu pendwa asa wale wa mwanza wa kwnye vipakitiMaisha ya geto, ugali mkubwaa dagaa wa kuhesabu.. aisee dagaa wana save sana budget , pale unapokuwa umefuria... View attachment 2215300
Akiniponda, itabidi aje nimuoe , awe ananipikia vyemaSubiri kina cocastic na kundi lake waje kuponda pishi hilo[emoji16][emoji16][emoji16],Kwa mimi dagaa ndo mboga yangu pendwa asa wale wa mwanza wa kwnye vipakiti
[emoji3][emoji3] saiz unapokelewa na matunda juuYes mkuu na sio kunimis tu ata nikienda home kuna ile treatment unapewa ya heshima yan daaaah imenifanya ata nikienda hom siend kinyonge kabisa nakuwa na ata 20k kwaajil ya bi mkubwa [emoji1][emoji1][emoji1]
Huu ndo ugali mkubwa unaousemea au kuna mwingine[emoji41][emoji41]Maisha ya geto, ugali mkubwaa dagaa wa kuhesabu.. aisee dagaa wana save sana budget , pale unapokuwa umefuria... View attachment 2215300
Nilitaka kuuliza hiviHuu ndo ugali mkubwa unaousemea au kuna mwingine[emoji41][emoji41]
Baada ya kumjua ni wa aina gani, anisumbuiNa anakuandamaga sana [emoji23]
hah ndio huoHuu ndo ugali mkubwa unaousemea au kuna mwingine[emoji41][emoji41]
Dona lenyewe halijaiva, afu dagaa wana shombo hapo, hujaosha vizuri lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maisha ya geto, ugali mkubwaa dagaa wa kuhesabu.. aisee dagaa wana save sana budget , pale unapokuwa umefuria... View attachment 2215300
Kuna mtu alisema hv ukija ww humu lazima uuponde huo msosi na kweli there you goDona lenyewe halijaiva, afu dagaa wana shombo hapo, hujaosha vizuri lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
huyu, mm nimemzoea, nataka nimuoe awe ananipikiaKuna mtu alisema hv ukija ww humu lazima uuponde huo msosi na kweli there you go
Kabsa mkuu naon wadau wengi wamenshauri tanfoam itabd nchukue hilohilo mkuuNunua TANFOAM fundi bishoo hutajutia.
Ile slogani yao ya Alinunua Babu Mpaka Mjuu Analitumia sio ya uongo.
Ukiweza piga simu kiwandani wakuelekeze wapi ukachukue kwa Bei na vigezo vyako.
Mimi kuna mmama uwa nanunua kwake ananichambulia kisado kizima wapo geto mda wote, ukijisika unaanga, unalost au unawapika wa mchuzi pembeni mboga za majani, dagaa ni mboga ya fastaMaisha ya geto, ugali mkubwaa dagaa wa kuhesabu.. aisee dagaa wana save sana budget , pale unapokuwa umefuria... View attachment 2215300
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan uongo sasa?Kuna mtu alisema hv ukija ww humu lazima uuponde huo msosi na kweli there you go
Tupo kaka apo ongeza na ayaView attachment 2215791
Iv humu kuna walevv wa euro truck simulator 2??