kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
kuna mtu anaenda kuliwa kimasihara
[emoji23][emoji23][emoji23]oya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mtu anaenda kuliwa kimasihara
Karibu mm mwenyeji wako😊Wenyeji wa mbeya
Naombeni mnipe muongozo,bei ya vyumba,
Big sana kiongoz,umetoka mbal sana [emoji119][emoji119]Hapa ndo nilivyoanza.View attachment 2245724
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee mwanaume kukaa gheto hatuanzi na godoro la million kasoro. Acha zako. Hiyo million ujue ndio tayari gheto lilisha ng'aa kabisa....kinachobaki hapo ni kualika mrembo aje alibariki kwa kukojolea godoro
Spendi kitandaNunua kitanda kijana.
[emoji23][emoji23][emoji23]... Anataka uanguke ufe..Spendi kitanda
geto kali.. ila ujipange ununue na simu..Jana nimebapata bahati ya kuingia kwenye gheto la kijana wangu shilanga mwizukulu View attachment 2248011
Hili ni geto au vuruguJana nimebapata bahati ya kuingia kwenye gheto la kijana wangu shilanga mwizukulu View attachment 2248011
Safi Sana mkuuu, hapo mpaka December si habaUzi huu ulinifanya kuwa na stress sana, nliwaza namna ya kuchomoka skan ukizingatia nilipata kazi maeneo ya skan, na Mazaa aalikua hata kabisa kuskia maswala ya kupanga,
## ilifika hatua nkaplani kujenga gofu langu na nichomoke skan kwa techniq ya kulinda kwangu.
## But i thank God, nmepata job mkoa x japo ya kujitolea, ni nimeanza life kibabe na godoro na ndoo za kuazima kwa mdau
View attachment 2252152
Kwl kabisa vijana wengi tunaoa kisa kikubwa ni kuosha vyombo nyege kufua nasi kuoa kwa sababu sasa unahitaji familia mwisho wake majanga na maumivu kwa sisi vijana nakazia ukishindwa kupika n kuosha vyombo vyk mwnyw bora ununuwe kwa mama ntilie tuhh japo vyakula vyao bora ushibeUkitaka usiwe mvivu wa kuosha vyombo baada ya kupika fanya hivi ÷
Kwanza; usiwe na vyombo vingi ghetto, uwe na vichache vya muhimu tu.
Pili; ukiwa unapika kila chombo ambacho hakina matumizi baada ya kumaliza kazi yake hakikisha unakiosha au unakisuuza na kuirudisha mahali pake.
Mpaka unamaliza kupika utajikuta huna chombo hata kimoja kichafu isipokuwa ulivyopikia na utakavyotumia wakati wa kula. Hivi haviwezi kukutia uvivu kuosha maana ni vichache.
Kwanini nasema uwe na vyombo vichache, kwanza siyo hulka mwanaume ghetto kwake kuwe na vyombo vingi vya kupikia hii ni kazi ya wanawake.
Ukiwa na vyombo vingi vitakufanya uwe unatumia tumia tu maana unavyo vingi na unaona uvivu wa kuosho vichafu.
Sasa hii itakukusanyia vyombo vingi vichafu na vitakutia uvivu wa kuosha na hutapika, bajeti yako utaivuruga kwenda kula nje wakati kila kitu unacho ndani.
Wengine husema kwa kuwa yupo dada wa jirani au mwenye nyumba nitamuita aje anioshee, kosa la kiufundi hapa unafanya. Utaoa/kuozeshwa kabla ya muda wako.
Kuoa/kuolewa huwa siyo umri bali ni utayari wa mtu kwamba anaingia kwenye majukumu haya. Usiige kila mtu ana akili zake jinsi ya kuishi kwenye ndoa.
Kuna vijana tulianza wote maisha wakawahi kuoa, mwaka juzi nakutana nao wanasema bora wasingeoa mapema wanasema angalau sasa hivi ndio wangeoa ili wawe wamejijenga zaidi kimaisha.
Wanaume wengi huamua kuoa mapema baada ya kuchoshwa na kuosha vyombo na kupika, Tumia hiyo njia kwanza,chakula cha kujipikia ni bora na ni afya zaidi kuliko cha nje.
M nakaa mtaa wa kwa nyimbo hukuNiko mitaa ya villa park hapa kwa mbele kidogo kabla hujafika uwanjani
Miguu ya kuku, sijawahi kuikubali m nakula firigisi
Mzee Mambo ndo yako hivyoNlipost hiii mwaka 2020 na badae December mwaka huo huo nikawa nasepa maskan kwenda kuanza maisha kitaaa bila kuwa na mishe yoyote. Kiukweli nilipiga kazi yoyote iliokuja mbele yangu na hiii ikansaidia kukutana na washikaj mbalimbali ambao ikasaidia kupeana michongo. Hadi Sasa npo get naona hatua zinaenda ila kwa mwendo wa Kobe.
Miguu ya kuku, sijawahi kuikubali m nakula firigisi
Hata niwe na njaa na dhiki vipi hunilishi miguu ya kuku aisee[emoji849][emoji3064][emoji15]Miguu ya kuku, sijawahi kuikubali m nakula firigisi