Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Huu uzi umenifanya nitoke home. Nimehamia makao makuu ya nchi. Natamani nipate marafiki mapambanaji wa JF huku.
Hongera sana mkuu[emoji119][emoji119],dodoma huko huwez kosa marafiki humu
 
Wee mwanaume kukaa gheto hatuanzi na godoro la million kasoro. Acha zako. Hiyo million ujue ndio tayari gheto lilisha ng'aa kabisa....kinachobaki hapo ni kualika mrembo aje alibariki kwa kukojolea godoro
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzi huu ulinifanya kuwa na stress sana, nliwaza namna ya kuchomoka skan ukizingatia nilipata kazi maeneo ya skan, na Mazaa aalikua hata kabisa kuskia maswala ya kupanga,
## ilifika hatua nkaplani kujenga gofu langu na nichomoke skan kwa techniq ya kulinda kwangu.
## But i thank God, nmepata job mkoa x japo ya kujitolea, ni nimeanza life kibabe na godoro na ndoo za kuazima kwa mdau
View attachment 2252152
 
Uzi huu ulinifanya kuwa na stress sana, nliwaza namna ya kuchomoka skan ukizingatia nilipata kazi maeneo ya skan, na Mazaa aalikua hata kabisa kuskia maswala ya kupanga,
## ilifika hatua nkaplani kujenga gofu langu na nichomoke skan kwa techniq ya kulinda kwangu.
## But i thank God, nmepata job mkoa x japo ya kujitolea, ni nimeanza life kibabe na godoro na ndoo za kuazima kwa mdau
View attachment 2252152
Safi Sana mkuuu, hapo mpaka December si haba
 
Ukitaka usiwe mvivu wa kuosha vyombo baada ya kupika fanya hivi ÷

Kwanza; usiwe na vyombo vingi ghetto, uwe na vichache vya muhimu tu.

Pili; ukiwa unapika kila chombo ambacho hakina matumizi baada ya kumaliza kazi yake hakikisha unakiosha au unakisuuza na kuirudisha mahali pake.

Mpaka unamaliza kupika utajikuta huna chombo hata kimoja kichafu isipokuwa ulivyopikia na utakavyotumia wakati wa kula. Hivi haviwezi kukutia uvivu kuosha maana ni vichache.

Kwanini nasema uwe na vyombo vichache, kwanza siyo hulka mwanaume ghetto kwake kuwe na vyombo vingi vya kupikia hii ni kazi ya wanawake.

Ukiwa na vyombo vingi vitakufanya uwe unatumia tumia tu maana unavyo vingi na unaona uvivu wa kuosho vichafu.

Sasa hii itakukusanyia vyombo vingi vichafu na vitakutia uvivu wa kuosha na hutapika, bajeti yako utaivuruga kwenda kula nje wakati kila kitu unacho ndani.

Wengine husema kwa kuwa yupo dada wa jirani au mwenye nyumba nitamuita aje anioshee, kosa la kiufundi hapa unafanya. Utaoa/kuozeshwa kabla ya muda wako.

Kuoa/kuolewa huwa siyo umri bali ni utayari wa mtu kwamba anaingia kwenye majukumu haya. Usiige kila mtu ana akili zake jinsi ya kuishi kwenye ndoa.

Kuna vijana tulianza wote maisha wakawahi kuoa, mwaka juzi nakutana nao wanasema bora wasingeoa mapema wanasema angalau sasa hivi ndio wangeoa ili wawe wamejijenga zaidi kimaisha.

Wanaume wengi huamua kuoa mapema baada ya kuchoshwa na kuosha vyombo na kupika, Tumia hiyo njia kwanza,chakula cha kujipikia ni bora na ni afya zaidi kuliko cha nje.
Kwl kabisa vijana wengi tunaoa kisa kikubwa ni kuosha vyombo nyege kufua nasi kuoa kwa sababu sasa unahitaji familia mwisho wake majanga na maumivu kwa sisi vijana nakazia ukishindwa kupika n kuosha vyombo vyk mwnyw bora ununuwe kwa mama ntilie tuhh japo vyakula vyao bora ushibe
 
Nlipost hiii mwaka 2020 na badae December mwaka huo huo nikawa nasepa maskan kwenda kuanza maisha kitaaa bila kuwa na mishe yoyote. Kiukweli nilipiga kazi yoyote iliokuja mbele yangu na hiii ikansaidia kukutana na washikaj mbalimbali ambao ikasaidia kupeana michongo. Hadi Sasa npo get naona hatua zinaenda ila kwa mwendo wa Kobe.
Mzee Mambo ndo yako hivyo
 
Back
Top Bottom